Friday, October 28, 2016

Hans Van Pluijm arejea jangwani asimamia mazoezi jioni ya leo


Hatimae mwigulu Nchemba amrejesha tena kundini kocha mkuu wa yanga Hans Van Pluijm na join hii amekiongoza kikosi cha yanga katika mazoezi yakujiandaa na mchezo wa wikiendi hii na Mbao FC.

Mwigulu ambae ni waziri katikata sreikali ya awamu ya tano ni mnazi na mwanachama wa kilabu hiyo kongwe nchini, ameweza kushawishi pande mbili zinazosigana na hatimae kukaa meza moja kwa mustakabali chanya wa yanga

Related Posts:

  • Farid Mussa Aifukuzia Ligi Kuu Hispania, La Liga Winga chipukizi wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Farid Mussa, leo Ijumaa ameondoka nchini Tunisia kuelekea Hispania kwa ajili ya kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa. Farid atakuwa huko kwa ta… Read More
  • YANGA YATOLEWA KLABU BINGWA AFRIKA Timu ya soka ya Yanga imeyaaga mashindano ya klabu bingwa barani Afrika baada ya kukubali kichapo cha magoli 2-1 toka kwa Al Ahly na kufanya jumla ya magoli ya Al Ahly kufikia 3 na jumla ya magoli ya Yanga kufikia 2.  … Read More
  • Serengeti Boys Kucheza Na Timu Ya Taifa Ya Marekani U17 Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini India (AIFF) limetoa ratiba ya michuano ya vijana (AIFF Youth Cup 2016 U-16) itakayoanza kutimua vumbi Mei 15 -25 katika mji wa Goa nchini India kwa Serengeti Boys kufungua dimba na Ma… Read More
  • Juma Abdul Ajitia Kitanzi Yanga Klabu ya Yanga imemwongeza mkataba wa miaka miwili beki wake wa kulia,Juma Abdul, Mkataba ambao utamuweka Mchezaji huyo klabuni hapo hadi Mei 2018. kwa mujibu wa Meneja wa klabu ya Yanga Hafidhi Salehe ni kwamba Juma … Read More
  • Yanga Kukutana Na Timu Hii Kutoka Angola Kanuni za Shirikisho la Soka la Afrika (Caf) zinaeleza kuwa timu ambazo zitatolewa katika Raundi ya Pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika zitashuka katika Kombe la Shirikisho ambapo huko zitakutana na timu nane zilizosonga mbele … Read More

0 comments:

Post a Comment