Kwa mara ya kwanza idadi ya mashabiki waliohudhuria uwanjani katika mechi za La Liga imezidi watu milioni 14.
Taasisi inayoshughulika na ligi kuu nchini Hispania La Liga imekusanya takwimu kutoka katika mechi 848 zilizochezwa kwenye ligi kuu (Primera Division) na Ligi Daraja la kwanza (Segunda Division) na kisha kupata idadi hiyo ya mashabiki.
Idadi ya tiketi 14,010,099 ziliuzwa katika kipindi cha msimu wa 2014/2015 huku idadi ya mashabiki ikiwa ni 13,792,333.
Hii ni rekodi ambayo haijawahi kufikiwa na ligi nyingine yoyote.
Wednesday, June 22, 2016
LA LIGA YAWEKA REKODI YA DUNIA
Related Posts:
CHRISTIANO RONALDO AITAJA TIMU ATAKAYOMALIZIA MAISHA YAKE YA SOKA Baada ya uvumi mwingi kuwa Christiano Ronaldo anataka kuondoka Real Madrid, wengine wakimuhisha kujiunga na PSG na wengine Man United, Ronaldo ameamua kufunguka na kuweka wazi timu atakayomalizia soka lake. Christiano R… Read More
MESSI HANA HARAKA YA KUONGEZA MKATABA BARCELONA Supastaa wa soka duniani Lionel Messi hajaanza mazungumzo ya kuongeza mkataba wake uliosalia miaka 2 katika klabu yake ya Barcelona. Barcelona hawajaanza mazungumzo ya kuongeza mkataba wa Messi unaomalizika miaka 2 ijayo.… Read More
UJUMBE WA WHATSAPP ALOTUMA RONALDO KWA NEYMAR WANASWA Christiano Ronaldo amemtumia ujume Neymar kwa njia ya Whatsapp baada ya Barcelona kushinda La Liga. Superstaa wa Madrid Christiano Ronaldo amemtumia Neymar ujumbe wa pongezi wiki iliyopita akimpongeza kwa kutwaa taji la… Read More
LA LIGA YAWEKA REKODI YA DUNIAKwa mara ya kwanza idadi ya mashabiki waliohudhuria uwanjani katika mechi za La Liga imezidi watu milioni 14. Taasisi inayoshughulika na ligi kuu nchini Hispania La Liga imekusanya takwimu kutoka katika mechi 848 zilizoche… Read More
ANTOINE GRIEZMANN AONGEZA MKATABA ATLETICOMshambuliaji wa klabu ya Atletico Madrid, Antoine Griezmann amesaini mkataba mpya na klabu ya Atletico Madrid utakaomuweka klabuni hapo hadi 2021. Griezmann alikuwa akihusishwa na kujiunga na vilabu vya ligi kuu ya Uingere… Read More
0 comments:
Post a Comment