Wednesday, May 4, 2016

HONGERENI AZAM FC KWA HILI MNALOLIFANYA


Azam FC inawakaribisha vijana wote Tanzania mwenye  umri chini ya  miaka 20 yani (U-20), nenda kajaribu bahati yako ya kufanya majaribio na kujiunga na 'Azam FC Academy' Jumamosi hii Mei 7 ndani ya makao makuu ya Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.
Majaribio hayo yataanza rasmi saa 2.00 asubuhi, hivyo Benchi la Ufundi la timu ya vijana ya Azam FC chini ya Tom Legg na Idd Cheche, linawaomba vijana muzingatie muda kwa kufika mapema popote ulipo nchini.

Azam FC  imekuwa na utaratibu wa kuendesha zoezi la majaribio kwa vijana wa umri huo kila Jumamosi ya kwanza ya ya kila mwezi, lengo likiwa ni kuvumbua vipaji na kuwapa nafasi vijana kuonyesha uwezo wao ili hatimaye baadaye wapate nafasi ya kujiunga na Academy ya Azam FC.

Related Posts:

  • Niyonzima Arejea Na Kasi Mpya Yanga Kiungo wao mchezeshaji Mnyarwanda, Haruna Niyonzima amepona malaria na tayari ameanza mazoezi. Kiungo huyo, hivi karibuni alizuiwa kuingia kwenye kambi ya maandalizi huko Pemba katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi… Read More
  • "Sisi Mashabiki Wa Yanga Timu Hatuielewi Kwa Sasa" Mashabiki wa Yanga wameshindwa kuvumilia kinachoendelea kwa sasa katika timu yao hali iliyochangiwa pia na sare ya Juzi dhidi ya Al Ahly. Hali hiyo imepelekea Mashabiki hao kumfuata Kocha Charles Boniface Mkwasa anaeitumik… Read More
  • Simba Katika Mtihani Mwingine Wa FA Leo Dhidi Ya Coastal Union Timu ya Simba inajiandaa kupambana na Coastal Union ya Jijini Tanga leo Jumatatu katika Uwanja wa Taifa Dar es salaam, Kocha wa timu hiyo Jackson Mayanja amesema timu iko fiti wamejiandaa vizuri na wanatarajia ushindi kati… Read More
  • Farid Mussa, Himid Mao Safari Ulaya Farid WACHEZAJI wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Farid Mussa na Himid Mao wako mbioni kuelekea barani Ulaya kusaka nafasi ya kucheza soka kulipwa. Nyota hao wawili wanatakiwa na timu mbalimbali za Lig… Read More
  • LIVE Droo Ya Nusu Fainali Kombe La Shirikisho ASFC Leo Droo ya Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup), inatarajiwa kufanyika leo Jumanne saa 3 usiku moja kwa moja (live) kupitia kituo cha luninga cha AzamTwo. Hatua ya Nusu Fainali ya Kombe la Shiriki… Read More

0 comments:

Post a Comment