Home »
Kitaifa
» HABARI ZA MICHEZO MAGAZETINI LEO IJUMAA MAY 6 ,2016
Related Posts:
PLUIJM:"YANGA TIMU BORA TANZANIA"
Kocha wa Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara, Hans Van Pluijm amesema Yanga bado ni timu bora zaidi Tanzania Licha ya kuondolewa katika michuano ya kimataifa.
Yanga imetupwa nje ya michuano ya kombe la shirikisho … Read More
SIMBA YABADILI GIA ANGANI
Sare ya bila kufunguna waliyoipata Simba dhidi ya JKT Ruvu imemfanya kocha wa klabu hiyo, Joseph Omog kubadili mfumo wa uchezaji na kusisitiza umakini kwa wachezaji katika mechi zijazo.
Katika mchezo huo dhidi ya JKT Ruvu… Read More
BOCCO AITISHIA NYAU SIMBA
ZIKIWA zimesalia siku tatu kabla ya kupambana na Simba, Nahodha wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, John Bocco ‘Adebayor’, amesema kuwa wanamorali kubwa ya kuibuka na ushindi katika mchezo huo utakaofanyika … Read More
OMOG ASHUSHA PRESHA ZA WANAMSIMBAZI
Kocha wa klabu ya Simba, Mcameroon, Joseph Omog amewataka mashabiki wa klabu hiyo kuwa watulivu kufuatia sare ya bila kufungana waliyoipata dhidi ya JKT Ruvu.
Omog amesema hayo ni matokeo ya kawaida ya kimchezo hivyo mash… Read More
TANZIA;BABA YAKE DEOGRATIUS MUNISH "DIDA" AAGA DUNIABaba wa Mlinda Mlango namba 1 wa Mabingwa Watetezi wa Ligi kuu Tanzania Bara, Deogratius Munish amefariki Dunia mchana wa leo.
Mzee Munishi ameaga dunia mchana wa leo, kifo chake kimetokea wakati tayari Dida anakaribia kuingi… Read More
0 comments:
Post a Comment