Friday, May 6, 2016

HABARI 5 KUBWA ZA USAJILI LEO IJUMAA MAY 6, 2016


Pep Guardiola Anamtaka Arteta Man City
Midfielder huyo anategemewa kuondoka katika klabu ya Arsenal mwisho mwa msimu huu, ambapo mkataba wake na Arsenal unamalizika, baada ya miaka 5 ya kuitumikia Arsenal na tayari ameshapewa ofa ya kujiunga na Man City.

Mahrez Anataka Kubaki Leicester City
Mchezaji wa kimataifa wa Algeria Riyad Mahrez anawindwa na vilabu vingi vikubwa barani ulaya, lakini yeye mwenyewe amewaambia viongozi wa Leicester kuwa anataka kubaki katika uwanja wa King Power na mabingwa hao wapya.

Flamini Apewa Ofa na Klabu Ya Panathinaikos
Timu hiyo ya Ugiriki imedhamiria kuinasa saini ya Midfielder wa The Gunners, Flamini kufuatia Mkataba wa mchezaji huyo kumalizika mwishoni mwa msimu huu.

Chelsea Wavutiwa Na Morata
Klabu ya Juve ipo tayari kumuuza Morata kwenda klabu ya Chelsea endapo watakubaliana kiasi cha pesa kitakachotajwa.

Arsenal Waisaka Saini Ya Kante

Klabu ya Arsenal imekuwa na mazungumzo ya mara kwa mara na wakala wa Midfielder huyo wa Leicester City, hizo zikiwa ni harakati za Wenger kukiboresha zaidi kikosi chake.

Related Posts:

  • MBUYU TWITE NDANI ISSOUFOU BOUBACAR NJE YANGA Habari njema kwa mashabiki wa Yanga ni kwamba Kiungo wao wa kimataifa wa Rwanda Mbuyu Twite ameongeza mkataba katika klabu hiyo. Ikiwa tayari Yanga imefanikiwa kuwasajili wachezaji wawili golikipa Beno Kakolanya kutoka Ta… Read More
  • HUYU MWINGINE ALIYENASWA NA WEKUNDU WA MSIMBAZI Simba imemsainisha beki wa Mwadui Emmanuel Semwanza. Semwanza ameichezea Mwadui kwenye mzunguko wa pili baada ya kununuliwa kwenye kipindi cha usajili wa dirisha dogo akitokea African Lyon, tayari Beki huyo amesaini mkata… Read More
  • TAARIFA YA MOURINHO YAWAGAWA MASHABIKI MAN UKlabu ya Manchester United ilitangaza majina ya wachezaji wake ambao wataendelea kuitumikia United huku pia wakithibitisha kuwa nyota wanne hawana nafasi tena klabuni hapo. Kiungo Nick Powell ni miongoni mwa wachezaji amba… Read More
  • HUKU NDIKO SIMBA WANAKOSAKA NYOTA WAPYA Klabu ya Simba ipo katika pilikapilika za kuhakikisha wanaimarisha kikosi chao lengo likiwa ni kutwaa ubingwa wa ligi msimu ujao. Katika kuhakikisha wanafanya usajili wa uhakika Simba imeelekeza nguvu zake nchini Uganda,… Read More
  • MAROUANE FELLAINI:"HIKI NDO ALICHONIAMBIA MOURINHO"Marouane Fallaini ameweka wazi kuwa Kocha Jose Mourinho alimtumia ujumbe alipowasili Man United. Kiungo huyo wa Ubelgiji amesema Mourinho alimtumia ujumbe akimkaribisha United huku pia akimtakia kila la kheri katika michua… Read More

0 comments:

Post a Comment