Friday, June 2, 2017

Ozil, Sanchez Washusha Presha Ya Mashabiki Arsenal

Washambuliaji machachari wa klabu ya Arsenal Mesut Ozil na Alexis Sanchez wameshusha presha ya mashabiki wengi wa Arsenal baada ya uvumi kuenea kuwa nyota hao wataihama klabu hiyo.


Taarifa za hivi punde zinadai kuwa wachezaji hao wapo tayari kubaki klabuni hapo lakini wanataka wapewe nyongeza ya paundi 350,000 katika mishahara yao.

0 comments:

Post a Comment