Friday, June 2, 2017

PSG Wakubali Yaishe Kwa Aubameyang

Vigogo wa soka nchini Ufaransa, PSG wamekubali kutoa paundi milioni 61 kuinasa saini ya mshambuliaji wa Dortmund Pierre-Emerick Aubameyang.


Licha ya gharama hizo za uhamisho PSG pia wamekubali kumlipa nyota huyo kutoka barani Afrika kitita cha paundi 168,000 kwa wiki.


Usipitwe na taarifa yoyote ya Kimichezo hususani kipindi hiki cha Usajili, Ungana na Soka24 muda wote kuwa wa kwanza kupata habari za papo kwa papo za Usajili na mengineyo yote ya kimichezo kote ulimwenguni.

0 comments:

Post a Comment