Saturday, May 6, 2017

MSOLOPA Kulipiga Mnada Jengo La Yanga


KAMPUNI ya udalali ya MSOLOPA imepewa jukumu la kusimamia mchakato wa kuuzwa kwa jengo la Yanga SC endapo klabu hiyo itashindwa kulipa deni la kodi milioni 300, deni hilo limetokana na malimbikizo ya ada ya jengo la kiwanja kinachomilikiwa na klabu hiyo.

"Ni kweli kesi iko katika Mahakama ya Ardhi na tumeshaanza kuifanyia kazi, lakini tunaamini tutalilipa kabla ya mchakato huo wa kunadi jengo haujafanyika" alisema Mkwasa.

0 comments:

Post a Comment