Timu ya Simba kutoka jiji Dar es
salaam imekata tiketi ya kuingia hatua ya nusu fainali baada ya leo kuichapa
timu ya Madini FC ya mjini Arusha kwa goli 1 kwa 0.
Goli pekee la Simba limefungwa na
mchezaji toka taifa la Burundi Mavugo dakika ya 55 ya mchezo huo.
0 comments:
Post a Comment