Sunday, March 19, 2017

Madini FC 0 - 1 Simba, Simba yakata tiketi ya Nusu fainali kombe la shirikisho Azam confederation Cup



Timu ya Simba kutoka jiji Dar es salaam imekata tiketi ya kuingia hatua ya nusu fainali baada ya leo kuichapa timu ya Madini FC ya mjini Arusha kwa goli 1 kwa 0.


Goli pekee la Simba limefungwa na mchezaji toka taifa la Burundi Mavugo dakika ya 55 ya mchezo huo.

0 comments:

Post a Comment