Friday, April 29, 2016

YANGA YAENDELEA KUJIWEKA FITI



KLABU ya Dar Young Africans imeendelea na mazoezi huko mwanza katika viwanja vya DIT wakijiandaa na mchezo wao dhidi ya Toto Africans ambao utachezwa siku ya Jumamosi April 30, Yanga ambayo inashika nafasi ya kwanza kwenye msimamo wa ligi, wanaelekea katika mchezo huo huku wakijua wazi msimamo wa ligi bado hauwahakikishii ushindi wa moja kwa moja wa ligi ukizingatia wamebakiwa na mechi 5 ambazo zote watacheza ugenini na hivyo kuhitaji ushindi katika mchezo huo, na tumeshuhudia timu za Azam, Yanga na Simba zikikumbana na changamoto za viwanja hasa vya mikoani. Bado msimamo wa ligi uko wazi na unatoa nafasi kwa timu yoyote  ambayo itazimalizia vizuri mechi zake zilizobaki kuchukua ubingwa wa ligi kwa msimu huu.





Pata habari za michezo kwa haraka zaidi kupitia soka24.blogspot.com

Related Posts:

  • Kwa Heri Claudio Ranieri Claudio Ranieri afungashiwa virago Kutokana na mwenendo mbovu wa Matokeo kwenye kilabu ya Leicester City. Msimu huu kila timu imecheza michezo 25, na anaeongoza ligi Chelsea ana pointi 60, wakati bingwa mtetezi akiwa na… Read More
  • kikosi cha simba dhidi ya yanga leo hiki hapa Daniel Agyei Besala Janvier Bkungu Mohammed.Hussein Novati Lufunga Abdi Banda James Kotei Yassin Muzamiru Mohammed Ibrahim Ibrahim Ajib Laudit Mavugo Juma Liuzio #Akiba Peter Manyika H… Read More
  • Simba Vs Yanga:Lwandamina, Omog Watambiana Februari 25, ni siku inayosubiriwa kwa hamu kubwa kwa wapenzi wa soka nchini Tanzania na Afrika kwa ujumla, ambapo watani wa jadi, klabu za Simba na Yanga zinatarajia kumenyana katika uwanja wa taifa katika mchezo wa ligi ku… Read More
  • kikosi cha yanga dhidi ya simba leo hiki hapa 1. Deogratius Munishi 2. Juma Abdul 3. Mwinyi Haji 4. Vicent Andrew 5. Kelvin Yondani 6. Justine Zulu 7. Saimoni Msuva 8. Thabani Kamusoko 9. Amisi Tambwe 10. Obrey Chirwa 11. Haruna Ni… Read More
  • Simba 2 - 1 Yanga, kichuya na Mavugo waleta furaha msimbazi Magoli mawili ya Mavugo 67' na Kichuya 81' yameiwezesha timu ya simba kuibuka na ushindi wa goli 2 - 1 dhidi ya watani wao wajadi simba. Yanga ndio walikuwa wa kwanza kupata goli 5' ya mchezo kufuatia uzembe wa beki wa si… Read More

0 comments:

Post a Comment