Thursday, February 9, 2017

Tambe Atuma Salam Kwa Beki Za Simba

Mshambuliaji hatari wa Yanga,  Amis Tambwe ametamba kuifunga tena Simba katika mechi yao inayotarajiwa kupigwa majuma kadhaa yajayo.

Tambwe mwenye magoli 9 katika ligi msimu wa 2016/17 amesema kuwa haoni beki za kumzuia katika kikosi cha Simba.

"Sijaona beki ambaye anaweza kunidhibiti nishindwe kufunga nakujua vizuri uwezo wao kwaiyo wajiandae kwa kipigo na Mimi ndio nikiwa mfungaji," amesema Tambwe.

Mrundi huyo ameongeza kuwa anajisikia furaha sana kuifunga Simba kwani ndio ndoto yake siku zote.

"Nafurahi kuona ndoto zangu zimekuwa zikitimia kwani nimezifunga Simba kwenye mechi nyingi ambazo nimekutana nayo nikiwa na Yanga,"amesema Tambwe.
 
Simba na Yanga zinatarajia kukutana Februari 25.

Related Posts:

  • FARID MUSSA ATUA JIJINI DAR Farid Mussa Mchezaji Wa Timu Ya Azam FC Amewasili Jijini Dar Akitokea Hispania Alikokwenda Kufanya Majaribio Ya Kucheza Soka La Kulipwa Katika Klabu Ya Deportivo Tenerife Farid amewasili salama jijini Dar jana majira ya … Read More
  • BRENDAN RODGERS KOCHA MPYA CELTIC Rodgers aliyetimuliwa na Liverpool mwezi October 2015 amechukua nafasi ya kocha Ronny Deila aliyeachia ngazi katika klabu ya Celtic ya nchini Scotland. Kocha huyo wa Zamani wa Liverpool na Swansea amesaini mkataba wa mie… Read More
  • HABARI ZA MICHEZO MAGAZETINI LEO MEI 20,2016 Soma Vichwa Vya Habari Za Michezo Magazetini Kila Siku Asubuhi Kupitia Hapa Soka24.blogspot.com … Read More
  • DENIS KITAMBI KATIKA MTIHANI MZITO AZAM FC Kocha Msaidizi wa Azam FC  Denis Kitambi Ataiongoza klabu hiyo katika mchezo wa mwisho wa Ligi katika kuwania nafasi ya pili katika msimamo wa ligi kuu Tanzania Bara. Ligi Kuu Tanzania Bara inaelekea ukingoni na mechi… Read More
  • HAYA NDO ALIYOAHIDIWA KOCHA PLUIJM YANGA Mkataba wa kocha mkuu wa Yanga Hans Pluijm ukiwa umebakiza siku chache kumalizika Yanga yafunguka juu ya kuendelea kubaki na kocha huyo. Klabu ya Yanga imeanza mazungumzo rasmi na kocha mkuu wa klabu hiyo Hans Van Pluijm… Read More

0 comments:

Post a Comment