Sunday, June 5, 2016

HUYU NDO ANAETARAJIWA KUCHUKUA MIKOBA YA KOCHA JACKSON MAYANJA SIMBA

Simba ipo katika harakati za kukisuka upya kikosi chao na tayari wapo katika mazungumzo na kocha Mzimbabwe Kalisto Pasuwa.




Mwenyekiti wa kamati ya Usajili Simba Zacharia Hans Pope yupo katika mazungumzo ya mwisho na kocha huyo kwa ajili ya kuja kuchukua mikoba ya kocha Mayanja katika klabu ya Simba.
Hans Poppe ameonyesha uhakika wake juu ya kocha huyo kutua Simba huku akisema kuwa Pasuwa tayari ameshakubali ofa aliyopewa na klabu ya Simba hivyo kuwataka wanasimba kuwa watulivu wakati harakati za kuimarisha kikosi chao zikiendelea.

"Ni Kocha mwenye uwezo mkubwa ndiyo maana taifa lake likamuamini na kumpa timu ya taifa, ujio wake tunaamini ataweza kuvunja nguvu za wachezaji wa Yanga Donald Ngoma na Thabani  Kamusoko" yalikuwa maneno ya Hans Pope.

Aidha Hans alisema wapo katika mazungumzo pia na mshambuliaji hatari kutoka huko huko nchini Zimbabwe ambaye naye pia anaitumikia timu yake ya taifa ya Zimbabwe lakini hakumtaja kwa jina.

Related Posts:

  • SHEREHE ZA UBINGWA YANGA KUFANYIKA NANGWANDA SIJAONA Mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara timu ya Yanga SC, wanatarajiwa kupewa kombe lao la ligi kuu msimu huu katika mchezo wao dhidi ya Ndanda FC utakaofanyika katika uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara, sherehe hizo za… Read More
  • WACHEZAJI SIMBA WAGOMA KUCHEZA NA MAJIMAJI Hali ya sintofahamu imezidi kuimkumba klabu ya Simba, baada ya wachezaji wake 7 kususia mechi kati yao na Majimaji ya Songea itakayochezwa siku ya Jumatano May 11. Wachezaji hao sita ni wakigeni na mmoja ni wa ndani, wac… Read More
  • YANGA WALIVYOIACHA ARDHI YA TANZANIA (PICHA)  KIKOSI CHA YANGA KIMESAFIRI KUELEKEA NCHINI ANGOLA AMBAKO WATACHEZA NA TIMU YA GD SAGRADA ESPERANCA KATIKA MCHEZO WA PILI WA KOMBE LA SHIRIKISHO BARANI AFRIKA HATUA YA MTOANO … Read More
  • KAMPENI KUTETEA KAGAME CUP AZAM FC NI JULAI 16 Timu ya Azam FC, itaanza kutetea ubingwa wake wa Kombe la Kagame kuanzia Julai 16 hadi 30 mwaka huu, michuano ambayo itakayofanyika jijini Dar es Salaam. Hii inakuwa ni mara ya pili mfululizo kwa michuano hiyo kufanyi… Read More
  • HIZI NDO MBWEMBWE ZA KOCHA MPYA AZAM FC Zeben Hernandez Kocha Mpya Azam FC KOCHA Mkuu mtarajiwa wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Zeben Hernandez, ameweka wazi kuwa malengo yake makubwa ni kuifanya timu hiyo kuwa timu kubwa barani Afrika ms… Read More

0 comments:

Post a Comment