Timu ya taifa ya Chile imefanikiwa kuibuka na ushindi wa magoli 2 - 0 dhidi ya Colombia katika mchezo wa nusu fainali Copa America 2016 na kufanikiwa kutinga fainali ya michuano hiyo na sasa watakutana na Argentina kwa mara ya pili katika fainali hizo.
Thursday, June 23, 2016
FAINALI COPA AMERICA 2016 NI CHILE VS ARGENTINA
Timu ya taifa ya Chile imefanikiwa kuibuka na ushindi wa magoli 2 - 0 dhidi ya Colombia katika mchezo wa nusu fainali Copa America 2016 na kufanikiwa kutinga fainali ya michuano hiyo na sasa watakutana na Argentina kwa mara ya pili katika fainali hizo.
Related Posts:
TSH. 15,000/- YA LEIGH HERBERT SHABIKI WA LEICESTER CITY YAMFANYA KUWA MILIONEA Anaitwa Leigh Herbert,Ana miaka 39, Ni Fundi seremala Na Ni shabiki wa Leicester City, Mwanzoni kwa msimu wa ligi kuu England mwaka Jana mwezi wa 8, akiwa amelewa pombe alitabiri kuwa Leicester City watatwaa ubingwa wa l… Read More
ATLETICO MADRID YAIFUNGISHA VIRAGO BAYERN MUCHEN Nusu fainali ya UEFA Champions ligi imeendelea Jana kwa mchezo mmoja ulowakutanisha Bayern Muchen ambao walikuwa nyumbani dhidi ya Atletico Madrid. Mchezo huo ulimalizika kwa Bayern kushinda magoli 2 - 1, hata hivyo Baye… Read More
TIMU 2 ZA LA LIGA KUKUTANA FAINALI UEFA CHAMPIONS Uefa Champions League imeendelea tena jana, Real Madrid ilipocheza na Manchester City katika uwanja wa Santiago Bernabeu. Mchezo huo uliisha kwa Madrid kupata ushindi wa Goli moja, goli ambalo Fernando alijifunga katika … Read More
UJUMBE WA JURGEN KLOPP KWA MASHABIKI WA LIVERPOOL KLABU Ya Liverpool leo itawakaribisha Villarreal kutoka Nchini Hispania katika mchezo wa pili wa nusu fainali ya Uefa Europa League utakaopigwa katika dimba la Anfield, saa 4:05 usiku wa leo. Katika Mchezo wa kwa… Read More
BAYERN VS ATLETICO, HIVI NDIVYO MAMBO YALIVYOKAWA ALLIANZ ARENA … Read More
0 comments:
Post a Comment