Thursday, June 9, 2016

DANIEL AGGER ATANGAZA KUACHANA NA SOKA

Beki wa zamani wa klabu ya Liverpool Daniel Agger ametangaza kustahafu kucheza soka leo alhamisi Juni 9, 2016 akiwa na umri wa miaka 31.


Beki huyo aliyefanikiwa kuichezea timu yake ya taifa ya Denmark mechi 71 alishare taarifa hiyo pia katika akaunti yake ya Twitter na kuandika maneno haya;

"Asanteni wote kwa sapoti yenu. Ni uzoefu mkubwa, Inahuzunisha lakini ni maamuzi sahihi kupumzika. Ninajivunia kazi yangu."


Agger ameitumikia Liverpool kwa miaka 8 tangu ajiunge mwaka 2006. Akiwa Anfield alikuwa moja kati ya mabeki bora katika ligi kuu nchini Uingereza na kufanikiwa kushinda kombe la ligi akiwa na Majogoo hao wa London mwaka 2012.

Related Posts:

  • KUMBE HUYU NDO ALIYEIFUNGISHA MAN UTD DHIDI YA WESH HAM Manchester United ilishindwa kupata ushindi waliokuwa wanauhitaji ili wajihakikishie nafasi ya nne katika msimamo wa ligi kuu nchi Uingereza baada ya kukubali kipigo cha 3 – 2 kutoka kwa wagonga nyundo wa West Ham, kufua… Read More
  • WAAMUZI TANZANIA WALA SHAVU CAF Shirikisho la Soka Afrika (CAF), limewateua waamuzi wanne kuchezesha mchezo Na. 27 kati ya Ethiopia dhidi ya Ghana kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana 2017 utakaofanyika Uwanja wa Addis Ababa … Read More
  • JUVENTUS YAISHUSHIA KIPIGO KIKALI SAMPDORIA Mabingwa wa ligi kuu nchini Italia Juventus, jana wametoa kipigo kikali kwa timu ya Sampdoria kwa kuichapa magoli 5 – 0, Juventus tayari walishakuwa mabingwa hata kabla ya mchezo wao dhidi ya Sampdoria na sasa wamefikish… Read More
  • CAF YATANGAZA MABADILIKO MAKUBWA KLABU BINGWA AFRICA 2017 Maafisa wa shirikisho la kandanda barani afrika (CAF) wamedokeza kuwa kutakuwa na mabadiliko katika ratiba ya michuano ya klabu bingwa barani na ile ya mashirikisho. Rais wa shirikisho hilo Issa Hayatou amethibitisha hay… Read More
  • CARLO ANCELOTTI AMTABIRIA MABAYA PEP GUARDIOLA Kocha anayechukua mikoba ya Pep Guardiola katika klabu ya Bayern Munich Carlo Ancelotti amesema ipo siku Guardiola atatimuliwa kama mbwa katika maisha yake ya ukocha. Ancelotti amemuonya Pep kwamba katika maisha yake … Read More

0 comments:

Post a Comment