Thursday, June 2, 2016

MANJI AWAFUTA UANACHAMA WALIOFANYA NJAMA ZA KUHUJUMU UCHAGUZI YANGA

Mwenyekiti wa Yanga Yusuph Manji amemvua uanachama Mzee Msumi baada ya kudaiwa kufanya njama na viongozi TFF kuhujumu uchaguzi yanga na kupanga safu yao ya uongozi,

Wanachama Wa Yanga Wakiwa Makao Makuu Ya Timu Hiyo Walipomsindikiza Manji Kuchukua Fomu Ya Kugombea Nafasi Ya Uenyekiti

Mwenyekiti huyo pia amewasimamisha Uanachama wanachama wote ambao wamechukua fomu za kuogombea nafasi za uongozi Yanga kupitia TFF.



Related Posts:

  • AL AHLY WAMNYATIA DONALD NGOMA Mshambuliaji wa kimataifa wa Zimbabwe Donald Ngoma ameanza kuwindwana vigogo wa soka la Misri na Afria timu ya Al Ahly. Ngoma amekuwa mshambuliaji tishio sana katika klabu ya Yanga na ametoa mchango mkubwa sana katika ma… Read More
  • MUNAODHANI KIPRE TCHETCHE ATAJIUNGA NA YANGA, HII NDO KAULI YAKE KWENU Mchezaji Kipre Herman Tchetche amesema hana mpango wa kujiunga na klabu nyingine yoyote ya Tanzania. Tchetche amefikia hatua ya kuyazungumza hayo kufuatia uvumi unaotawala hivi sasa ukimuhusisha yeye kujiunga na klabu ya… Read More
  • PAUL NONGA ANYOOSHA MIKONO YANGA Mchezaji aliyejiunga na Yanga akitokea Stand United Paul Nonga amesema ameuomba uongozi wa Yanga umuuze. Nonga amefikia uamuzi huo baada ya kukosa nafasi ya kucheza muda mwingi katika klabu hiyo. ”Nimeomba kuuzwa na tay… Read More
  • TWIGA STARS KUVAANA NA RWANDA Timu ya soka Taifa ya Wanawake ya Tanzania – Twiga Stars, inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Rwanda, utakaofanyika Uwanja wa Amahoro jijini Kigali, Rwanda. Rwanda wameomba mchezo ufanyike ili ku… Read More
  • KIPRE TCHETCHE AOMBA KUONDOKA AZAM FC Kipre Tchetche mchezaji wa Azam FC raia wa Ivory Coast amesema inatosha sasa kucheza Tanzania hivyo anataka kwenda kujaribu sehemu nyingine. Kipre ambaye ana mwaka mmoja umebaki katika mkataba wake ametosheka na muda ali… Read More

0 comments:

Post a Comment