Mchezo kati ya Yanga na Sagrada Esperanca ya Nchini Angola uliopigwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar-Es-Salaam leo umemalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa magoli 2 - 0. Magoli ya Yanga Yamefungwa na Simon Msuva dakika ya 72 na lingine likifungwa na Matheo Simon katika dakika ya 91 ya Mchezo huo.
Saturday, May 7, 2016
YANGA YAIKALISHA ESPERANCA TAIFA
Related Posts:
TANZANIA YAPOROMOKA KATIKA UBORA WA VIWANGO VYA SOKA DUNIANI Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeshuka kwa nafasi 7 kutoka nafasi ya 129 hadi 136 katika ubora wa viwango vya soka duniani. Algeria imeendelea kushika nafasi ya kwanza barani Afrika huku ikiwa imepanda katika viw… Read More
KLABU 2 ZA MISRI VITANI KUWANIA SAINI YA DONALD NGOMA Klabu za Misri Al Ahly na Zamalek zipo katika vita ya kuwania saini ya Mshambuliaji wa Yanga Donald Ngoma. Uwezo mkubwa wa Donald Ngoma anapokuwa uwanjani umezifanya klabu nyingi kuhitaji saini ya mchezaji huyo anaeitumi… Read More
HUYU NDO ANAETARAJIWA KUCHUKUA MIKOBA YA KOCHA JACKSON MAYANJA SIMBA Simba ipo katika harakati za kukisuka upya kikosi chao na tayari wapo katika mazungumzo na kocha Mzimbabwe Kalisto Pasuwa. Mwenyekiti wa kamati ya Usajili Simba Zacharia Hans Pope yupo katika mazungumzo ya mwisho na koch… Read More
HAWA NDO WANAOTUPIWA VIRAGO KLABU YA SIMBA Simba ipo katika harakati za kukisuka upya kikosi chao na tayari taarifa za ndani ya klabu hiyo zimeonyesha wazi wachezaji ambao wataondoka klabuni hapo kupisha wengine waendeleze gurudumu Msimbazi. Kwa mujibu wa Gazeti … Read More
SAMATTA AIPA YANGA MBINU ZA KUIMALIZA TP MAZEMBE Mchezaji wa zamani wa klabu ya TP Mazembe ya Congo, Mbwana Ally Samatta amesema Inawezekana Yanga kuifunga TP Mazembe Samatta anayecheza katika klabu ya Genk ya nchini Ubelgiji ameonyesha kufurahishwa kwake baada ya timu … Read More
0 comments:
Post a Comment