Thursday, May 26, 2016

TAIFA STARS KUELEKEA NCHINI KENYA KESHO

Kikosi cha timu ya taifa ya mpira wa miguu Tanzania (Taifa Stars) kilichopo chini ya Charles Boniface Mkwasa kinatarajiwa kuondoka nchini kesho kuelekea Kenya kwa ajili ya mchezo wao wa kirafiki wa Kimataifa.


Stars itaondoka kesho majira ya saa 12 alfajiri kwenda Nairobi kenya, mchezo huo ni wa kujiandaa na Mchezo dhidi ya Misri utakaopigwa juni 4, 2016 katika kuwania kufuzu kucheza fainali za kombe la mataifa ya Afrika (AFCON-2017).

Related Posts:

  • LIVE KUTOKA TAIFA - FUATILIA LIVE MCHEZO KATI YA SIMBA NA TOTO AFRICANS HALF TIME MATOKEO: SIMBA 0 - 1 TOTO AFRICANS Mfungaji: Wazir Junior  ======== KIPINDI CHAPILI KIMEANZA Dakika ya 47: beki wa Simba, Hassan Kessy anapewa kadi nyekundu kwa kumchezea faulo, Edward Chris… Read More
  • Mnyama Achinjwa Taifa Timu ya soka ya Simba imezidi kupoteza matumaini ya kunyakua ubingwa wa ligi kuu soka Tanzania bara baada ya kukubali kichapo cha Goli 1 - 0 toka kwa Toto Africans ya Mwanza.Katika mchezo huo ambao wadau wengi wa soka waliip… Read More
  • Hapatoshi Leo Tena Taifa Patashika za ligi kuu ya kandanda tanzania bara zinaendelea tena leo kwa mchezo mmoja tu kupigwa katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam ukiwakutanisha wenyeji Simba SC dhidi ya Toto Africans ‘wana kishamapanda’kutok… Read More
  • Tanzania Yazidi Kupata Umaarufu Duniani Bondia Ibrahim Class Bondia mtanzania Ibrahim Class ‘King Class Mawe’ameendelea kutamba katika mapigano yake nje ya nchi baada ya usiku wa kuamkia jana kufanikiwa kumtwanga Mjerumani huko Panama City Amerika Kusini. … Read More
  • Migi: Azam FC Ina Nafasi CAF KIUNGO wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Jean Mugiraneza ‘Migi’, amesema kuwa licha ya timu hiyo kukabiliwa na mchezo mgumu wa ugenini dhidi ya Esperance, bado ina nafasi ya kusonga mbele kwa kuwatoa w… Read More

0 comments:

Post a Comment