Thursday, May 26, 2016

DANI ALVES AMECHEZA MECHI YAKE YA MWISHO BARCELONA...HII NDO KLABU ANAYOKWENDA

Imeripotiwa kuwa  Superstaa wa Barcelona Dani Alves yupo mbioni kujiunga na Miamba ya soka nchini Italia.


Taarifa zinasema kuwa Alves Tayari ameshakubali mkataba wa miaka mitatu kuitumika Juventus, Alves amekosa muda mwingi wa kucheza msimu huu na inaonekana wazi kuwa anahitaji sehemu ambayo atapata changamoto mpya, sehemu hiyo ikitajwa kuwa Turin, akiwa anaondoka Barcelona kama mchezaji huru.

Ingawa Barcelona hawatapata pesa yoyote kuondoka kwa Alves klabuni hapo, lakini wataokoa zaidi ya Euro milioni 8 kutoka katika mkataba wa Alves, kwa mujibu wa ripoti ya mtandao wa radio wa Caden Ser ni kwamba dili hilo litakamilika siku chache zijazo.

Related Posts:

  • YAYA TOURE ASAINI MKATABA NA CAEN YA UFARANSA Ni hatua nzuri katika maisha yake ya soka, akiwa ametumikia klabu ya Aminens kwa miaka mitatu na kufanikiwa kupewa jukumu la unahodha katika kikosi cha vijana U17s, sasa  hivi amepata mkataba wake mkubwa. Ikiwa… Read More
  • SUPER MARIO AKUBALI KUJIUNGA NA MAN UNITED Manchester United wanakaribia kumalizana na mchezaji wa Sporting Lisbon Joan Mario. Mabosi wa United wamefanya mazungumzo mara kadhaa na mchezaji huyo mwenye miaka 23 raia wa Ureno na wakala wake anaamini dili hilo li… Read More
  • TAYARI MAN UTD IMENASA SAINI ZA WACHEZAJI HAWA 4 Mashabiki wa Manchester United wanahamu kubwa ya kujua kina nani watatua katika klabu yao mara baada ya kumalizika msimu huu wa Ligi kuu. Lakini wakiwa katika shauku hiyo tayari klabu ya Man UTD imeshanasa saini za makin… Read More
  • HABARI KUBWA ZA USAJILI BARANI ULAYA LEO MEI 19 Arsenal Imetenga Euro Milioni 65 Kumnasa Morata Klabu ya Arsenal imetenga kitita Cha Euro Milioni 65 kuhakikisha wanapata saini ya Morata anayetumikia klabu ya Juve kwa sasa. Sessegnon & Anichebe Kuondoka West Bro… Read More
  • HASSAN RAMADHANI KESSY AMWAGA WINO YANGA Beki wa kulia wa Simba SC, Hassan Ramadhani Kessy (katikati) akitia dole gumba kwenye fomu za Mkataba wa Yanga, Kessy amesaini miaka miwili kuitumikia Yanga kuanzia mwezi ujao. Zoezi hilo lilifanyika juzi usiku mjini Dar… Read More

0 comments:

Post a Comment