Monday, May 30, 2016

BAD NEWS: ALIYEKUWA MJUMBE WA KAMATI YA UTENDAJI SIMBA AFARIKI DUNIA

Aliyekuwa mjumbe kamati ya utendaji Simba Said Pamba amefariki dunia Jana Jijini Dar es Salaam na anatarajiwa kuzikwa leo jumatatu saa 5 Asubuhi.


Pamba alikuwa mjumbe katika kamati hiyo chini ya uongozi wa Ismail Aden Rage, Pamba amekutwa na umauti huo katika Hospitali ya Mbezi alikokuwa anapata matibabu.

"Msiba upo Manzese Darajani kwa dada yake, tumepokea kwa mshituko na masikitiko makubwa, Pamba alikuwa ni mtu ambaye alisikiliza ushauri na mtendaji mzuri mwenye misimamo yake, hivyo tumepoteza mtu muhimu katika soka letu" alisema Nkwabi rafiki wa karibu wa marehemu alipozungumza na Mwanaspoti.

Pamba ameacha Mke na watoto watatu.

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI..AMEEN

Related Posts:

  • BAADA YA KUTUPIWA VIRAGO HAMISI KIIZA AICHANA VIBAYA SIMBA Hamisi Kiiza ambaye aliingia katika mgogoro na uongozi wa timu yake ya zamani ya Simba SC ameamua kufunguka na kusema kwamba timu hiyo hata isajili nyota wote kamwe haitafanikiwa. Kiiza aliyeshika nafasi ya pili kwa upach… Read More
  • AZAM FC YANASA WENGINE WAWILI KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, leo jioni imeingia mkataba na mabeki wawili, Mghana Daniel Amoah na Mzimbabwe, Bruce Kangwa, kwa ajili ya kuitumikia timu hiyo msimu ujao. Wawili hao kila mmoja amesaini m… Read More
  • NAMUNGO FC YAPIGWA FAINI, YAPANDA DARAJA Kamati ya Mashindano ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imeipiga faini ya Sh. 500,000, Klabu ya Namungo FC ya Lindi kwa kila mechi ambayo mchezaji Imani Vamwanga aliichezea timu hiyo akitumia jina la Emmanuel T.… Read More
  • MWASHIUYA KUIKOSA MEDEAMA SC GHANA Kiungo klabu ya Yanga, Geofry Mwashiuya ataukosa mchezo wa marudiano kati ya Yanga na Medeama SC utakaopigwa nchini Ghana kutokana kuuguza majeraha ya goti. Mwashiuya amewekewa bandeji laini ambayo inamsaidia kupona hara… Read More
  • YALIYOJIRI MKUTANO MKUU WA DHARULA YANGA Katika mkutano mkuu wa dharula wa klabu ya Yanga uliofanyika leo ukumbi wa Diamond Jubilee, Mwenyekiti Yusuf Manji ameomba apewe klabu kwa miaka 10 na katika kipindi hicho atakuwa anachukua asilimia 75 ya mapato ya timu, huk… Read More

0 comments:

Post a Comment