Saturday, June 11, 2016

SIMBA YAMNASA WINGA MACHACHARI, ASAINI MIAKA 2

Klabu ya Simba Sports Club imefanikiwa kumsajili mchezaji wa Mwadui FC, Jamali Mnyate aliyesaini mkataba wa miaka 2 kwa uhamisho wa Tsh. Milioni 15.



Kufuatia usajili huo Makamu Rais wa klabu hiyo, Geofrey Nyange Kaburu amesema, kwa muda mrefu walikuwa wanamfukuzia mchezaji huyo na sasa wanafurahi sana kujiunga na klabu yao.

Kaburu amesema tayari wamemalizana na mchezaji huyo na sasa ni mchezaji halali wa Simba.

"Baada ya kuondoka Ramadhani Singano tulimkossa mtu mwenye kasi na msimu uliopita tumepata sana tabu ndiyo maana tukakubaliana kumsajili Mnyate ambaye kwa kiwango alichonacho tunaamini atatusaidia katika mipango yetu ya kurudi kwenye ubora wetu msimu ujao" alisema Kaburu

Related Posts:

  • Tambwe Amechuja Awekwe Benchi Mashabiki wa Klabu ya Dar Young Africans wameonyesha kutokufurahishwa na kiwango kinachoonyeshwa na mshambuliaji wao Amis Tambwe siku za hivi karibuni. Tambwe ambe ana magoli 18 katika orodha ya wafungaji bora msimu huu an… Read More
  • Mnyama Achinjwa Taifa Timu ya soka ya Simba imezidi kupoteza matumaini ya kunyakua ubingwa wa ligi kuu soka Tanzania bara baada ya kukubali kichapo cha Goli 1 - 0 toka kwa Toto Africans ya Mwanza.Katika mchezo huo ambao wadau wengi wa soka waliip… Read More
  • Hiki Ndio Kikosi Cha Yanga Leo Dhidi Ya Mtibwa Sugar LIGI KUU || TZ - BARA || 2015~2016. YANGA SC Vs MTIBWA SUGAR FC. UWANJA - Uwanja wa Taifa. Muda - saa 10 : 00Alasiri. >>>>>>KIKOSI CHA YANGA LEO<<<<<<<< 1. Deogratias Bonave… Read More
  • Abdi Banda Alia Na Viongozi Wa Simba Mchezaji wa Simba Abdi Banda anasema hajui mustakabali wake katika Klabu hiyo kufuatia tamko la adhabu aliyopewa kutokana  na kupishana kauli na kocha wake Jackson Mayanja katika mechi dhidi ya Coastal Union. Ana… Read More
  • Hapatoshi Leo Tena Taifa Patashika za ligi kuu ya kandanda tanzania bara zinaendelea tena leo kwa mchezo mmoja tu kupigwa katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam ukiwakutanisha wenyeji Simba SC dhidi ya Toto Africans ‘wana kishamapanda’kutok… Read More

0 comments:

Post a Comment