Saturday, June 4, 2016

PIERRE-EMERICK AUBAMEYANG AMBWAGA LEWANDOWSKI TUZO ZA MCHEZAJI BORA BUNDESLIGA 2015/16

Mchezaji kandanda bora barani Afrika wa mwaka huu Pierre-Emerick Aubameyang ametawazwa kuwa mshindi wa tuzo la mwaka huu la mchezaji bora katika ligi kuu ya Ujerumani Bundesliga.


0 comments:

Post a Comment