Thursday, June 23, 2016

KIPA AONDOKA CHELSEA KWA MKOPA

Mlinda Mlando wa Chelsea Mitchell Beeney ameondoka klabu hapo kwa mkopo na kujiunga na klabu inayoshiriki ligi daraja la kwanza ya Crawley.

Beeney 20, hajawahi kucheza mechi yoyote ya ligi kuu tangu ajiunge na Chelsea na msimu uliopita alikuwa Newport kwa mkopo ambako alicheza mechi nne tu.

Like Ukurasa Wa Soka24 Facebook Hapa

Related Posts:

  • MOURINHO AKERWA NA MAAMUZI YA ED WOODWARDKocha mpya wa Man U Jose Mourinho amekerwa na kitendo cha bosi wake Ed Woodward kushindwa kukamilisha dili la Renato Sanches. United tayari imeshakamilisha usajili wa mlinzi kutoka Villarreal, Eric Bailly kwa uhamisho wa p… Read More
  • RASMI:DANI ALVES ATUA JUVENTUSMchezaji wa kimataifa wa Brazil, Dani Alves ametua katika klabu ya Juventus akitokea Barcelona. Dani Alves amekamilisha uhamisho wake wa kujiunga na Juventus akitokea Barcelona na kusaini mkataba wa miaka miwili na mabingw… Read More
  • ONYO KALI NA MUHIMU KWA YANGA KUELEKEA MECHI YAO LEOMwenyekiti wa zamani wa Simba Ismail Aden Rage amesema wachezaji wapya waliosajiliwa Yanga hawana leseni za kuichezea timu hiyo katika mchezo wa leo. Rage amesema Sheria ya Usajili ya michuano ya Kombe la shirikisho namba … Read More
  • KIBARUA CHA LAURENT BLANC CHAOTA NYASI PSGKlabu ya PSG imemtimua kocha wake Laurent Blanc, kwa mujibu wa jarida la la L'Equipe la nchini Ufaransa. Taarifa za kutimuliwa kwa kocha huyo bado hazijawa rasmi kwani mpaka hivi sasa klabu ya PSG haijatoa tamko rasmi laki… Read More
  • SIMBA YAITOLEA NJE YANGAKlabu ya Simba imekanusha taarifa zilizotolewa na Ofisa habari wa Yanga Jerry Muro kuwa waliandikiwa barua ya kutaka kutoa ruhusa ya Kessy. Kessy amesajiliwa na Yanga akitokea Simba na amezuiwa kucheza kutokana na mkataba … Read More

0 comments:

Post a Comment