Thursday, June 23, 2016

ANTOINE GRIEZMANN AONGEZA MKATABA ATLETICO

Mshambuliaji wa klabu ya Atletico Madrid, Antoine Griezmann amesaini mkataba mpya na klabu ya Atletico Madrid utakaomuweka klabuni hapo hadi 2021.

Griezmann alikuwa akihusishwa na kujiunga na vilabu vya ligi kuu ya Uingereza lakini mwenyewe amesema anafurahia maisha ya Atletico.

Baada ya kusaini mkataba huo wa miaka mitano Griezmann alisema amefarijika kuendelea kuwa sehemu ya Atletico na kwamba atajitahidi kujituma ili kiwango chake kiwe kinapanda mwaka hadi mwaka.

Like Ukurasa Wa Soka24 Facebook Hapa

Related Posts:

  • Ozil, Sanchez Washusha Presha Ya Mashabiki Arsenal Washambuliaji machachari wa klabu ya Arsenal Mesut Ozil na Alexis Sanchez wameshusha presha ya mashabiki wengi wa Arsenal baada ya uvumi kuenea kuwa nyota hao wataihama klabu hiyo. Taarifa za hivi punde zinadai kuwa wach… Read More
  • USAJILI: Yaya Toure Kimeeleweka Man City Kiungo wa klabu ya Manchester City, raia wa Ivory Coast Yaya Toure amesaini mkataba mpya utakaoendelea kumuweka mchezaji huyo klabuni hapo kwa mwaka mmoja zaidi.  Hatua hiyo inafikiwa baada ya Pep Guardiola kuridhik… Read More
  • Simba Wapata Mbadala Wa Juuko Murshid Munezero Fiston ni Mnyarwanda ambaye yupo katika mipango ya Simba baada ya kocha Joseph Omog kupendekeza atafutiwe mchezaji mwingine. Munezero, anayekipiga katika klabu ya Rayon Sport anatarajiwa kutua Dar Es Salaam Juma… Read More
  • PSG Wakubali Yaishe Kwa Aubameyang Vigogo wa soka nchini Ufaransa, PSG wamekubali kutoa paundi milioni 61 kuinasa saini ya mshambuliaji wa Dortmund Pierre-Emerick Aubameyang. Licha ya gharama hizo za uhamisho PSG pia wamekubali kumlipa nyota huyo kutoka b… Read More
  • Griezmann Kubaki Atletico Madrid Mshambuliaji wa Atletico Madrid Antoine Griezmann amedokeza kwamba huenda asiihame klabu yake, licha ya kuwindwa na klabu  kubwa Ulaya ikiwemo Manchester United. Mfaransa huyo wa miaka 26 aliandika kwenye Twitter: "… Read More

0 comments:

Post a Comment