Sunday, May 1, 2016

SIMBA NA AZAM WAPELEKA SHANGWE JANGWANI


MECHI ya Ligi kuu Bara kati ya Simba na Azam Fc imemalizika kwa timu hizo kutoka suluhu ya 0 - 0, Mchezo ulikuwa wa taratibu sana kipindi cha kwanza lakini kipindi cha pili hasa baada ya vurugu zilizotokea baada ya mchezaji wa Azam kumkanyaga kwa makusudi Hamisi Kiiza, timu ziliongeza kasi na kushuhudia mashambulizi ya mara kwa mara  katika pande zote mbili.

Matokeo haya yamepokelewa kwa furaha kwa upande wa Yanga kwani kwa sasa gepu kati yao na timu hizo linaongezeka na kufikia pointi 6 kwa Azam Fc na pointi 7 kwa upande wa Simba, Hivyo Yanga inatakiwa kushinda Mechi 2 tu kati ya 4 zilizobaki ili kuwa mabingwa kwa mara ya pili mfululizo.


Pata habari za michezo kwa haraka zaidi kupitia soka24.blogspot.com

Related Posts:

  • SIMBA WAREJEA DAR TAYARI KWA KUIVAA AZAM FC TIMU ya Simba Sports Club imewasili jijini Dar wakitokea visiwani Zanzibar ambako walikwenda kujiandaa na mchezo wao dhidi ya Azam FC. Simba inayoshika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi inahitaji ushindi katika mchez… Read More
  • YANGA YAENDELEA KUJIWEKA FITI KLABU ya Dar Young Africans imeendelea na mazoezi huko mwanza katika viwanja vya DIT wakijiandaa na mchezo wao dhidi ya Toto Africans ambao utachezwa siku ya Jumamosi April 30, Yanga ambayo inashika nafasi ya kwanza kw… Read More
  • KIKOSI CHA YANGA LEO DHIDI YA TOTO AFRICANS KIKOSI CHA YANGA LEO. 1. Deogratius Munishi Dida. 2. Juma Abdul Japhary. 3. Oscar Fanuel Joshua. 4. Kelvin Patrick Yondani. 5. Vicent Bossou. 6. Salum Abo Telela. 7. Saimon Happygod Msuva. 8. Haruna Fadhil Niyo… Read More
  • Dennis Kitambi Aeleza Siri Ya Ushindi Wao Dhidi Ya Majimaji KOCHA Msaidizi wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Dennis Kitambi, amesema kuwa maelekezo waliyowapa wachezaji wao ya kuongeza hali ya kupambana mchezoni kabla ya kuanza kipindi cha pili ndio yamepelekea… Read More
  • TCHETCHE YUKO FITI KUIVAA SIMBA MSHAMBULIAJI hatari wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Kipre Tchetche, yupo fiti asilimia 100 kuivaa Simba  kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) utakaofanyika Uwanja wa Taifa, D… Read More

0 comments:

Post a Comment