Friday, May 6, 2016

LUIS SUAREZ ATUMA UJUMBE HUU KWA LIVERPOOL


Kufuatia ushindi wa 3 - 0, walioupata Liverpool jana dhidi ya Villarreal katika mchezo wa pili wa nusu fainali ya kombe la Europa League, Mchezaji wa zamani wa klabu hiyo ya Liverpool Luis Suarez amewatumia ujumbe wa pongezi wachezaji wa Liverpool aliowaita kuwa ni marafiki zake, Martin Skrtel na Philipo Coutinho.
Katika ujumbe huyo aliouandika katika akaunti yake ya twitter Suarez amesema “Hongereni Liverpool kwa kuingia katika hatua ya Fainali. Hongereni pia rafiki zangu Martin Skrtel na Philipo Coutinho”

Suarez alijiunga na Barcelona akitokea katika klabu ya Liverpool ambako alicheza kwa mafanikio makubwa.

Liverpool itacheza na Sevilla katika fainali hiyo  May 18 huko nchini Switzerland.

Related Posts:

  • LEWANDOWSKI AIFIKIA REKODI ILIYOWEKWA MIAKA 39 ILIYOPITA MCHEZAJI wa zamani wa klabu ya Borrusia Dortmund anayekipiga katika klabu ya Bayern Munich kwa sasa Robert Lewandowski amefikia rekodi iliyowekwa miaka 39 iliyopita katika ligi kuu nchini Ujerumani maarufu kama Bundeslig… Read More
  • SUPER MARIO AKUBALI KUJIUNGA NA MAN UNITED Manchester United wanakaribia kumalizana na mchezaji wa Sporting Lisbon Joan Mario. Mabosi wa United wamefanya mazungumzo mara kadhaa na mchezaji huyo mwenye miaka 23 raia wa Ureno na wakala wake anaamini dili hilo li… Read More
  • HATIMA YA VAN GAAL MAN UNITED YAWEKWA WAZI Louis Van Gaal amehakikishiwa na mabosi wa United kuwa ataendelea kubaki katika klabu hiyo hadi mwisho wa mkataba wake kwa mujibu wa ripoti ya Daily Star. Mdachi huyo anayeinoa United amekuwa akisemwa sana juu ya uwezo … Read More
  • BARCELONA WATETEA UBINGWA WAO Barcelona imetwaa ubingwa wa La Liga baada ya kuifunga Granada kwa jumla ya magoli 3 – 0 magoli yote yakifungwa na Luis Suarez, Barcelona wametwaa ubingwa huo kwa tofauti ya pointi 1 tu na mahasimu wao wakubwa Real Madri… Read More
  • KIBARUA CHA ROBERTO MARTINEZ CHAOTA NYASI Akiwa ameshinda mechi moja tu kati ya 10 walizocheza hivi karibuni, huku wakiruhusu kipigo cha goli 3-0 kutoka kwa Sunderland Jumatano iliyopita, hitaji la wapenzi wa Goodison Park kuona kocha huyo anatimuliwa lilizidi … Read More

0 comments:

Post a Comment