Sunday, January 21, 2018

VIDEO:Angalia James McCathy Wa Everton Alivyovunjwa Mguu

Kiungo wa Everton James McCathy amevunjika mguu katika mechi kati ya timu yake ya Everton dhidi ya West Brom katika harakati za kumzuia mchezaji wa West Brom Solomon Rondom.


Tazama video hapa chini jinsi tukio lilivyokuwa.


Tukio hilo limetokea katika mchezo huo wa ligi kuu soka nchini Uingereza ambapo mechi hiyo ilimalizika kwa sare ya kufungana bao 1-1

0 comments:

Post a Comment