Wednesday, June 14, 2017

Usajili Wa Kwanza Wa Yanga Huu Hapa

Yanga imekamilisha usajili wa beki wa kati kutoka katika klabu ya Taifa jang'ombe, Abdalla Haji Shaibu.


Beki  wa timu ya Taifa ya Jang"ombe Abdallah Haji Shaibu "Ninja" amesaini mkataba wa miaka 2 kuwatumikia mabingwa watetezi wa ligi kuu soka ya Tanzania bara klabu ya Yanga.

0 comments:

Post a Comment