Wednesday, June 14, 2017

Usajili Wa Kwanza Wa Yanga Huu Hapa

Yanga imekamilisha usajili wa beki wa kati kutoka katika klabu ya Taifa jang'ombe, Abdalla Haji Shaibu.


Beki  wa timu ya Taifa ya Jang"ombe Abdallah Haji Shaibu "Ninja" amesaini mkataba wa miaka 2 kuwatumikia mabingwa watetezi wa ligi kuu soka ya Tanzania bara klabu ya Yanga.

Related Posts:

  • Atletico Madrid Yaangukia Pua Tena Usajili Klabu ya Atletico Madrid imeshindwa katika rufani yao waliyokata katika Mahakama ya Kimataifa ya Michezo-CAS kupinga adhabu ya kuzuiwa kusajili na Shirikisho la Soka Duniani-FIFA. Hatua hiyo sasa inamaanisha kuwa klabu h… Read More
  • TAARIFA ZA USAJILI: Barani Ulaya Mancini Atua Zenit Kocha wa zamani wa klabu ya Manchester City, Roberto Mancini amekabidhiwa rasmi mikoba ya kuinoa klabu ya Zenit ya nchini Urusi. Mancini anachukua nafasi ya Mircea Lucescu. Rasmi: Huntelaar arudi Ajax … Read More
  • Man City Yaweka Rekodi Ya Dunia Kwa Usajili Huu Klabu ya Manchester City imefikia makubaliano ya kumsajili mlinda mlango Ederson Moraes kutoka katika klabu ya Benfica ya nchini Ureno kwa kitita cha paundi milioni 35.  Uhamisho wa kipa huyo mwenye umri wa miaka 23… Read More
  • USAJILI: Yaya Toure Kimeeleweka Man City Kiungo wa klabu ya Manchester City, raia wa Ivory Coast Yaya Toure amesaini mkataba mpya utakaoendelea kumuweka mchezaji huyo klabuni hapo kwa mwaka mmoja zaidi.  Hatua hiyo inafikiwa baada ya Pep Guardiola kuridhik… Read More
  • Asante Kwasi Kujiunga Na Yanga SC Beki wa timu ya Mbao FC, Asante Kwasi amesema angetamani kuichezea Yanga katika msimu ujao wa ligi. Beki huyo wa kati wa Mbao ameyasema hayo kutokana na kuvutiwa na kiwango na mafanikio ya klabu ya Yanga mabingwa mara ta… Read More

0 comments:

Post a Comment