Monday, June 5, 2017

BAD NEWS: TIOTE AANGUKA GHAFLA NA KUPOTEZA MAISHA

kiungo wa zamani wa Newcastle, Cheick Tiote ameanguka ghafla na kupoteza maisha akiwa mazoezini katika timu yake ya Beijing Enterprises inayoshiriki ligi daraja la pili.


Kiungo huyo ambaye amewahi kuwa tegemeo katika kikosi cha timu ya taifa ya Ivory Coast anakutwa na umauti ikiwa ni miezi minne tu tangu ajiunge na klabu hiyo.


Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi, Ameen

0 comments:

Post a Comment