Monday, February 20, 2017

simba waongezewa dozi nzito Unguja


Timu ya Simba leo asubuhi imeendelea kufanya mazoezi katika Uwanja wa Amaan, simba ipo Unguja tangu ijumaa kwa maandilizi ya mchezo na mtani wake Yanga.

Simba imefikia katika Hoteli ya Mtoni Marine iliyopo Maruhubi Mkoa Mjini Magharibi, na tangu ijumaa mpaka jana ilikuwa inafanya mazoezi yake asubuhi saa 3:00 – 5:00 katika dimba la Amaan.

Mratibu wa Simba, Abbas Ally ‘Gazza’ alipohojiwa na baadhi ya waandishi wa habari wa hapa Zanzibar alisema kuhusu kufanya mazoezi asubuhi tu alisema “wanafuata Ratiba ya mwalimu na kuanzia jumatatu watakuwa wanajifua mara mbili asbubuhi na jioni katika dimba hilo”.


“simba watarejea Dar es saalam siku ya ijumaa wakiwa tayari kwa mchezo wa jumamosi” aliongeza Mratibu huyo.  

Related Posts:

  • Manji Amcharukia Makonda Operesheni ya kuwataja hadharani wanaotuhumiwa kujihusisha na madawa ya kulevya limechukua sura mpya baada ya leo Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Mh. Paul Makonda kutaja orodha ya awamu ya pili ambayo imewahusisha watu wengi … Read More
  • Matumla Nje Miezi 12Hatimaye bondia wa Tanzania Mohammed Matumla ametakiwa kupumzika kwa muda wa miezi 10 hadi 12 kufuatia kupigwa kwa Knockout (KO) na kupata maumivu makali ya kichwa na mpinzani wake bondia Mfaume Mfaume na kupelekea kufanyiwa … Read More
  • Leicester City Yatinga Raundi ya 5 FA CUPLeiceister city hatimaye imeweza kulinda heshima katika uwanja wake wa nyumbani wa king power kufuatia ushindi wa magoli 3-1 dhidi ya Derdy County katika michuano ya  FA CUP away mchezo wa marudiano kusaka nafasi ya kuti… Read More
  • Tambe Atuma Salam Kwa Beki Za SimbaMshambuliaji hatari wa Yanga,  Amis Tambwe ametamba kuifunga tena Simba katika mechi yao inayotarajiwa kupigwa majuma kadhaa yajayo. Tambwe mwenye magoli 9 katika ligi msimu wa 2016/17 amesema kuwa haoni beki za kumzuia… Read More
  • Ed Woodward amtia kiburi cha kusajili Jose Mourinho, Antoine Griezmann kutua majira ya joto Ed Woodward aridhia Jose Mourinho kufanya usajili mwingine wa kutisha majira ya joto. Alisema “tutaendelea kutengeneza kikosi imara” kauli hiyo aliitoa leo wakati bosi huyo wa United alipokuwa anaongea na wawekezaji w… Read More

0 comments:

Post a Comment