Saturday, August 13, 2016

WALIOSAJILIWA NA KUACHWA TOTTENHAM MSIMU WA 2016-17

Kuelekea Msimu wa 2016-17 klabu ya Tottenham Hotspurs imekamilisha Usajili Ufuatao;

WALIOINGIA;
MCHEZAJI KLABU ALIYOTOKA ADA YA UHAMISHO

Victor Wanyama Southampton Pauni 11m
Vicent Janssen AZ Pauni 17m

WALIOONDOKA;
MCHEZAJI KLABU ALIYOKWENDA ADA YA UHAMISHO

C.Paul Queens Park Rangers Huru
Emmanuel Sonupe Northamton Town Huru
Arman Daly ................. Huru
Grant Ward Sheffield W. Haijawekwa Wazi
Alex Pritchard Norwich City Pauni 8m
Dominic Ball Rotherham  United Haijawekwa Wazi
Like Ukurasa Wa Soka24 Facebook, Bonyeza  HAPA 

Related Posts:

  • KIBARUA CHA LAURENT BLANC CHAOTA NYASI PSGKlabu ya PSG imemtimua kocha wake Laurent Blanc, kwa mujibu wa jarida la la L'Equipe la nchini Ufaransa. Taarifa za kutimuliwa kwa kocha huyo bado hazijawa rasmi kwani mpaka hivi sasa klabu ya PSG haijatoa tamko rasmi laki… Read More
  • MOURINHO AKERWA NA MAAMUZI YA ED WOODWARDKocha mpya wa Man U Jose Mourinho amekerwa na kitendo cha bosi wake Ed Woodward kushindwa kukamilisha dili la Renato Sanches. United tayari imeshakamilisha usajili wa mlinzi kutoka Villarreal, Eric Bailly kwa uhamisho wa p… Read More
  • SIMBA YAITOLEA NJE YANGAKlabu ya Simba imekanusha taarifa zilizotolewa na Ofisa habari wa Yanga Jerry Muro kuwa waliandikiwa barua ya kutaka kutoa ruhusa ya Kessy. Kessy amesajiliwa na Yanga akitokea Simba na amezuiwa kucheza kutokana na mkataba … Read More
  • TOTTENHAM WAKAMILISHA UHAMISHO WA VICTOR WANYAMAKiungo na Nahodha wa Harambee stars Victor Wanyama amekamilisha rasmi uhamisho wake wa kwenda Tottenham akitokea Southampton kwa ada ya uhamisho ya paundi milioni 11. Kulikuwa na taarifa hizi hapo awali Sasa ni dhahiri Wan… Read More
  • KOCHA PRISONS APANIA KUIBOMOA MTIBWA SUGARKocha Mkuu wa klabu ya Tanzania Prisons Salum Mayanga amesema anajipanga kuhakikisha anaibomoa Mtibwa Sugar kwa kuwasajili wachezaji muhimu wa kikosi hicho. Mayanga amepanga kumsajili mlinda mlango Hussein Sharifu kwa ajil… Read More

0 comments:

Post a Comment