Thursday, August 11, 2016

RASMI:LIVERPOOL WAMNASA NYOTA WA ZAMANI WA MADRID

Moja kati ya usajili wa kushangaza kabisa katika kipindi hiki cha Usajili.

Jonathan 36, kwa sasa ameshastaafu kucheza soka, Jonathan Woodgate aliachana na Middlesbrough Mwezi May mwaka huu baada ya mkataba wake kumalizika.

Wakati akicheza soka, Woodgate aliwahi kuzitumikia klabu za Leeds, Newcastle, Real Madrid, Tottenham pamoja na Stoke City.
Pia amekuwa Nahodha wa timu yake ya taifa ya Uingereza kwa vipindi vinane.

Licha ya kuachana na maisha ya soka na kuamua kupumzika na familia yake, Woodgate amekubali kusaini mkataba Liverpool akiwa kama Scout wa timu hiyo na kwamba ataelekeza nguvu zake katika nchi za Hispania na Ureno.

Related Posts:

  • RAIS WA CAF ATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI CAMEROON Rais wa shirikisho la Mpira wa miguu barani Africa Issa Hayatou ametuma salam za rambirambi Cameroon kufuatia kifo cha David Mayebi katika barua ya tarehe 18 Mei 2016 iliyotumwa kwa rais wa shirikisho la mpira wa migu… Read More
  • MASHABIKI 17 WA LIVERPOOL WATIWA NDANI Mashabiki 17 wa Liverpool walitiwa kizuizini na kuachiwa kufuatia matukio yaliyojitokea katika mchezo wa fainali Europa League Jana. Police wa Basel waliwakamata mashabiki 30 na kuwaweka ndani 17 wakiwa ni wa Liverpo… Read More
  • HUYU NDO ALIYEIFUNGISHA LIVERPOOL KWENYE FAINALI EUROPA Liverpool imepoteza mchezo wake wa fainali dhidi ya Sevilla kwa kufungwa magoli 3 - 1 na Alberto Moreno ndo ameonekana kuiangusha timu. Liverpool imepoteza katika mchezo wake wa fainali kombe la Europa jana baada ya ku… Read More
  • SERENGETI BOYS YATINGA NUSU FAINALI Timu ya soka ya Taifa ya Vijana wenye umri wa chini ya miaka 17 ‘Serengeti Boys’ leo Mei 19, 2016 imetinga hatua ya Nusu Fainali baada ya kutoka sare ya mabao 2-2 na Korea Kusini  Timu ya soka ya Taifa ya Vijana wen… Read More
  • SPURS NA ARSENAL KUWANIA SAINI YA MIDFIELD RAIA WA KENYA Tottenham Na Arsenal Wanasaka Saini Ya Midfieda Wa Southampton Victor Wanyama Wanyama alikuwa karibu kujiunga na Tottenham msimu uliopita lakini dili hilo lilifeli. Inasemekana Spurs bado wanania ya kumsajili Wanyama w… Read More

0 comments:

Post a Comment