Saturday, July 23, 2016

VIDEO: INTERVIEW YA KWANZA YA DAVID MOYES SUNDERLAND

David Moyes ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Sunderland akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Sam Allardyce aliyekabidhiwa timu ya taifa ya Uingereza.


Hii hapa chini Interview Yake ya kwanza mara tu baada ya kutangazwa kuwa kocha wa Sunderland
Ungana Na Soka24 Facebook, Bonyeza  HAPA  Kwa Habari Za Haraka Za Soka Kote Ulimwenguni.

0 comments:

Post a Comment