Mfungaji bora wa ligi kuu nchini Uingereza Jamie Vardy ameongeza mkataba wa miaka minne katika klabu yake ya Leicester city.
Mshambuliaji huyo hivi karibuni alihusishwa na kujiunga na klabu ya Arsenal lakini uvumi huo sasa utakuwa umeisha baada ya kuamua kumwaga wino tena klabuni hapo.
Sasa hivi kazi imebaki kwa N'golo Kante ambaye aligoma kuongeza mkataba mpya klabuni hapo huku vilabu vingi vya ligi kuu nchini humo vikionyesha kutaka huduma yake.
Thursday, June 23, 2016
JAMIE VARDY AONGEZA MKATABA LEICESTER CITY
Related Posts:
WACHEZAJI 10 MBADALA WA PAUL POGBA MAN U Klabu ya Manchester United ipo katika harakati za kuhakikisha wanainasa saini ya Kiungo wa Juventus Paul Pogba, lakini mbio hizo zinaweza kukumbwa na changamoto na hatimaye Man U kujikuta wakishindwa kupata huduma ya nyota h… Read More
CHANGAMOTO SITA ANAZOKUMBANA NAZO GUARDIOLA MAN CITYKufuatial utambulisho wake kuwa kocha mkuu mpya wa klabu ya Manchester City, Pep Guardiola anatakiwa asilale aanze kazi mara moja akijaribu kutatua changamoto mbalimbali klabuni hapo. Ubora wa Guardiola umedhihirika akiwa … Read More
MNIGERIA AHMED MUSA ATUA LEICESTER CITY Klabu ya Leicester City imemsajili mshambuliaji wa Nigeria Ahmed Musa kutoka CSKA Moscow kwa mkataba wa miaka 4 utakaogharimu pauni milioni 16. Southampton,Everton na West Ham walikuwa wakitafuta saini ya mchezaji huyo. M… Read More
MCHEKI GUARDIOLA KWA MARA YA KWANZA AKIWA NA MAN CITY MAZOEZINI Pep Guardiola Akiwa Na Timu Yake Mpya Ya Manchester City Mazoezini Bonyeza Hapa Ku-Like Ukurasa Wa Soka24 Facebook … Read More
VIDEO: GUARDIOLA AKIWA NA MAN CITY MAZOEZINI Tazama Video Hapa Chini Bonyeza Hapa Ku-Like Ukurasa Wa Soka24 Facebook … Read More
0 comments:
Post a Comment