Sunday, May 22, 2016

YUSUFU MANJI AWAPA MAGARI WACHEZAJI YANGA

Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Yusufu Manji ameahidi kuwapa magari wachezaji wa timu hiyo baada ya kufanikiwa kutinga hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika CAF, baada ya kuiondosha  Sagrada Esperanca ya Angola.





Manji amesema amefuraishwa na kitendo walichokifanya wachezaji wake kwani kimebeba utaifa na kupeperusha bendera ya Tanzania kupitia mchezo wa soka.

“Nataka kuwapa hamasa wachezaji wangu ili wafanye vizuri kwenye michuano hiyo ikiwezekana wafike fainali ya Kombe la Shirikisho na pia wabebe kombe la FA, dhidi ya Azam Jumatano uwanja wa taifa,” alisema mwenyekiti huyo wa klabu ya Yanga.

Related Posts:

  • MCHEZO WA STARS NA ETHIOPIA WAYEYUKA Lile pambano lililokuwa linasubiriwa kwa hamu na wapenzi wengi wa soka nchini limeota mbawa baada ya shirikisho la soka la Ethiopia kuiandikia TFF kuwa mchezo huo hautakuwepo kutokana na sababu za kiusalama nchini Ethiopia… Read More
  • TAARIFA YA YANGA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU KUKODISHA TIMU TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI MUHTASARI WA MKATABA.  1. Bodi ya Wadhamini wa Young Africans Sports Club, (ambayo hapa inajulikana kama Mmiliki”) imeingia tarehe 3 September, 2016 Mkataba wa kukodishwa na kampuni iju… Read More
  • SIMBA YAPEWA ONYO MBEYA Timu ya soka ya Simba inatarajiwa kushuka katika dimba la Sokoine Jijini Mbeya siku ya jumatano kuvaana na timu ya wananchi kutoka jijini humo Mbeya City. Kuelekea Mchezo huo, Klabu ya Mbeya City imetoa onyo kwa Wekundu h… Read More
  • MARUFUKU SIMBA NA YANGA KUTUMIA UWANJA WA TAIFA Serikali yatoa katazo juu ya simba na yanga kuuutumia uwanja wa taifa na kuwaambia watafute pakuchezea mechi zao. Hayo yamesemwa na waziri anaehusika na michezo mheshimiwa Nape.Nape alisema hivi “Uwanja huu sasa hautatumik… Read More
  • VIONGOZI TOTO AFRICANS WATUMBULIWA Uongozi wa klabu ya Toto Africans ya jijini Mwanza umewasimamisha baadhi ya viongozi wake kutokana na kile kilichotajwa kuwa ni utovu wa nidhamu. Godwin Aiko, Mwenyekiti wa klabu hiyo amesema sababu kubwa ya kuwasimamisha… Read More

0 comments:

Post a Comment