Mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara timu ya Yanga SC, wanatarajiwa kupewa kombe lao la ligi kuu msimu huu katika mchezo wao dhidi ya Ndanda FC utakaofanyika katika uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara, sherehe hizo za kukabidhiwa kombe vijana wa jangwani zilitarajiwa kufanyika leo katika mchezo wao na Mbeya City lakini kwa maelezo ya TFF ni kwamba wamechelewa kufanya maandalizi ili kuwezesha sherehe hizo kufanyika leo badala yake zitafanyika katika mechi kati ya mabingwa hao na Ndanda Fc utakaofanyika May 14/2016.
Tuesday, May 10, 2016
SHEREHE ZA UBINGWA YANGA KUFANYIKA NANGWANDA SIJAONA
Related Posts:
SIMBA WAMNASA MSHAMBULIAJI HATARI ZAIDI, AAHIDI GOLI KILA MECHI ASIPOFUNGA AKATWE MILIONI Timu ya Simba Sports club imekuwa katika wakati mgumu kwa takribani misimu minne sasa, hali hiyo pia imepelekea viongozi wa klabu hiyo kutokuwa na amani kwa kile kinachoondelea katika timu yao. Zacharia Hanspope amese… Read More
SALAMU ZILIZOTUMWA NA YANGA KWA WAPINZANI WAO BAADA YA KUITANDIKA AZAM FC 3 - 1 ZIMEFIKA, TP MAZEMBE IMEJIBU HIVI TIMU ya Yanga jana imefanikiwa kutwaa taji la pili msimu huu kombe la shirikisho TFF baada ya kuitwanga Azam FC 3 - 1 na tayari wapinzani wao katika kombe la shirikisho barani Afrika TP Mazembe wameonyesha kukubali kiwango c… Read More
TFF YAKATAA KUWA MWENYEJI KOMBE LA KAGAME Shirikisho a Soka Tanzana (TFF), limetangaza kutoandaa michuano ya kuwania Kombe la timu za nchi wanachama wa Shirikisho la Soka la Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), maarufu kama Kombe la Kagame kwa mwaka 2016 kama ilivyope… Read More
KAMATI YA UCHAGUZI TFF YATANGAZA MCHAKATO WA KUANZA KUCHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA UONGOZI YANGA Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetangaza leo Mei 27, 2016 kuanza kwa mchakato wa kuchukua fomu za kugombea uongozi katika Klabu ya Young Africans ya Dar es Salaam inayotarajia kufanya uc… Read More
MAMBO MATATU YANAYOMPA HOFU KOCHA PLUIJM ENDAPO MANJI ATAPIGWA CHINI YANGA Yanga imekuwa na mafanikio makubwa katika kipindi hiki ambacho ipo chini ya uongozi wa Yusuf Manji, na Uchaguzi wa Yanga uko karibuni kufanyika. Tayari kocha wa timu hiyo Hans Van Pluijm ameonyesha wasiwasi wake kama ikitoke… Read More
0 comments:
Post a Comment