Tuesday, May 10, 2016

MBEYA CITY, YANGA KUSIMAMISHA JIJI LEO


Ligi kuu Tanzania Bara maarufu kama Vodacom inatarajiwa kuendelea tena leo kwa mchezo  utakaowakutanisha Mbeya City ya Jijini Mbeya dhidi ya Yanga ya  jijini Dar-Es-Salaam. Yanga inaingia katika mchezo huu  ikiwa tayari imeshajihakikishia ubingwa wa ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2015/16 baada ya Simba kupoteza mchezo wake dhidi ya Mwadui FC,mechi hiyo  inatarajiwa kuwa kali na ya kuvutia licha ya Yanga kuwa mabingwa tayari kutokana na ushindani uliopo baina ya timu hizi, Mbeya City inahitaji ushindi katika mchezo huo ili kujihakikishia kubaki kwao katika ligi kuu msimu ujao.

Related Posts:

  • "Sisi Mashabiki Wa Yanga Timu Hatuielewi Kwa Sasa" Mashabiki wa Yanga wameshindwa kuvumilia kinachoendelea kwa sasa katika timu yao hali iliyochangiwa pia na sare ya Juzi dhidi ya Al Ahly. Hali hiyo imepelekea Mashabiki hao kumfuata Kocha Charles Boniface Mkwasa anaeitumik… Read More
  • Kapombe Akimbizwa Sauzi Kwa MatibabuBEKI kisiki wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Shomari Kapombe, ameondoka nchini leo saa 9.35 Alasiri akielekea Afrika Kusini kwa ajili ya kutibiwa kifua ambacho kinamsumbua. Kapombe aliyekosa mechi mbili… Read More
  • Hall: Tulishindwa Kutimiza Majukumu Yetu Uwanjani UKIACHILIA mbali malalamiko ya waamuzi, Kocha Mkuu wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Stewart Hall, amesema kuwa wameporwa ushindi na Ndanda jana baada ya wachezaji kushindwa kutimiza ipasavyo majukumu ya… Read More
  • Mnyama Afanyiwa Ujangili TaifaTimu ya soka ya Simba SC imejikuta nje ya michuano ya FA baada ya kupokea kichapo toka kwa timu ya Coastal Union. Katika mchezo huo wa vuta nikuvute Coasta ilikuwa yakwanza kutikisa nyavu za Simba baada ya mchezaji Yusuf kupi… Read More
  • Joseph Kimwaga Ajutia Kutua Msimbazi kimwaga Kushoto akishangilia goli Sraika wa Simba, Joseph Kimwaga ametamka kuwa kati ya vitu ambavyo anajutia kwenye maisha yake ya soka, basi ni kutua kuichezea timu hiyo.Mshambuliaji huyo alitua kuichezea Simba kwen… Read More

0 comments:

Post a Comment