Ligi kuu Tanzania Bara maarufu kama Vodacom inatarajiwa kuendelea tena leo kwa mchezo utakaowakutanisha Mbeya City ya Jijini Mbeya dhidi ya Yanga ya jijini Dar-Es-Salaam. Yanga inaingia katika mchezo huu ikiwa tayari imeshajihakikishia ubingwa wa ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2015/16 baada ya Simba kupoteza mchezo wake dhidi ya Mwadui FC,mechi hiyo inatarajiwa kuwa kali na ya kuvutia licha ya Yanga kuwa mabingwa tayari kutokana na ushindani uliopo baina ya timu hizi, Mbeya City inahitaji ushindi katika mchezo huo ili kujihakikishia kubaki kwao katika ligi kuu msimu ujao.
Tuesday, May 10, 2016
MBEYA CITY, YANGA KUSIMAMISHA JIJI LEO
Related Posts:
Simba Vs Yanga:Lwandamina, Omog Watambiana Februari 25, ni siku inayosubiriwa kwa hamu kubwa kwa wapenzi wa soka nchini Tanzania na Afrika kwa ujumla, ambapo watani wa jadi, klabu za Simba na Yanga zinatarajia kumenyana katika uwanja wa taifa katika mchezo wa ligi ku… Read More
kikosi cha simba dhidi ya yanga leo hiki hapa Daniel Agyei Besala Janvier Bkungu Mohammed.Hussein Novati Lufunga Abdi Banda James Kotei Yassin Muzamiru Mohammed Ibrahim Ibrahim Ajib Laudit Mavugo Juma Liuzio #Akiba Peter Manyika H… Read More
Kwa Heri Claudio Ranieri Claudio Ranieri afungashiwa virago Kutokana na mwenendo mbovu wa Matokeo kwenye kilabu ya Leicester City. Msimu huu kila timu imecheza michezo 25, na anaeongoza ligi Chelsea ana pointi 60, wakati bingwa mtetezi akiwa na… Read More
Kaseja mchezaji bora ligi kuu Tanzania Bara mwezi January … Read More
kikosi cha yanga dhidi ya simba leo hiki hapa 1. Deogratius Munishi 2. Juma Abdul 3. Mwinyi Haji 4. Vicent Andrew 5. Kelvin Yondani 6. Justine Zulu 7. Saimoni Msuva 8. Thabani Kamusoko 9. Amisi Tambwe 10. Obrey Chirwa 11. Haruna Ni… Read More
0 comments:
Post a Comment