Sunday, May 22, 2016

WANAOSUGUA BENCHI YANGA KUCHEZA NA MAJIMAJI LEO

Yanga imewasili Mjini Songea tayari kuvaana na Majimaji katika mchezo wao wa mwisho wa Ligi kuu Tanzania Bara.



Kuelekea mchezo huo Yanga imepeleka kikosi ambacho wengi wa wachezaji wake hawapati muda mwingi wa kucheza ukiachana na Deo Munish,Ally Mustafa na Joshua. 
Yanga imefanya hivyo kwa makusudi lengo likiwa ni kuwapumzisha wachezaji wake muhimu ili kukabiliana na na Azam FC katika mchezo wa  Fainali ya Kombe la shirikisho la TFF.

Wachezaji Waliobaki Dar ni Kevin Yondani, Thaban Kamusoko, Donald Ngoma, Vincent Bossou, Simon Msuva, Juma Abdul, Haruna Niyonzima, Amissi Tambwe, Benedictor Tinnoco na Malimi Busungu ambaye ni mgonjwa.

Walioenda kuivaa Majimaji ni Oscar Joshua ,Haji Mwinyi, Nadir Haroub,Benito John,Mbuyu Twite,Pato Ngonyani,Matheo Anthony,Deo Munishi,Ally Mustafa, na Paul Nonga.

Related Posts:

  • Misri Waihofia Stars AFCON Timu ya taifa ya Misri katika kile kinachoonekana kupania kuiondoa Taifa Stars katika michuano ya kufuzu mashindano ya Afcon 2017, wapo nchini kuifuatilia Stars kila hatua. Taarifa zinasema Meneja wa Timu hiyo yupo nchi… Read More
  • Hiki Ndio Kikosi Cha Yanga Leo Dhidi Ya Mtibwa Sugar LIGI KUU || TZ - BARA || 2015~2016. YANGA SC Vs MTIBWA SUGAR FC. UWANJA - Uwanja wa Taifa. Muda - saa 10 : 00Alasiri. >>>>>>KIKOSI CHA YANGA LEO<<<<<<<< 1. Deogratias Bonave… Read More
  • Tanzania Yazidi Kupata Umaarufu Duniani Bondia Ibrahim Class Bondia mtanzania Ibrahim Class ‘King Class Mawe’ameendelea kutamba katika mapigano yake nje ya nchi baada ya usiku wa kuamkia jana kufanikiwa kumtwanga Mjerumani huko Panama City Amerika Kusini. … Read More
  • Azam Fc Kuifuata Esperance De Tunis KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, inatarajia kuondoka leo kuelekea jijini Tunis kwa ajili ya kukabiliana na Esperance ya huko kwenye mchezo wa marudiano wa raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika utaka… Read More
  • TFF Yatuma Salamu Za Rambirambi MZFA Shirkisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetuma salamu za rambirambi kwa Chama cha Mpira wa Miguu mkoa wa Mwanza (MZFA), kufuatia kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti mstaafu wa MZFA na makamu mwenyekiti wa FAT Silvanus Maka… Read More

0 comments:

Post a Comment