Monday, May 9, 2016

TAZAMA MASHABIKI WA SIMBA WALIVYOLIANZISHA MSIMBAZI


Kufuatia matokeo mabaya yanayoikumba klabu ya Simba katika mechi zao za hivi karibuni, mashabiki na wanachama wa klabu hiyo wameshindwa kuvumilia na kuamua kujikusanya katika makao makuu ya klabu hiyo kwa kile wanachodai kuwa ni kutaka kujua nini mustakabali wa timu yao.
Achana na tukio la kioo cha gari lao Youtong kupasuliwa, toka asubuhi ya leo wanachama na mashabiki wa Simba SC walijazana makao makuu ya klabu yao wakihitaji ufafanuzi wa mambo wanayoyaona hayako sawa ikiwemo pia taarifa ya FIFA kuiamuru klabu hiyo kumlipa Musoti ndani ya siku 30 vinginevyo klabu hiyo itashushwa daraja.

TAZAMA HAPA HALI ILIVYOKUWA MITAA YA MSIMBAZI LEO

Related Posts:

  • RUVU SHOOTING KUKIPA NGUVU KIKOSI CHAORuvu Shooting ipo katika mipango ya kusajili wachezaji saba ili kujiimarisha kabla hawajaanza kipute cha ligi kuu Vodacom msimu wa 2016/17. kwa sasa Ruvu Shooting inaendelea na kambi kwenye uwanja wa Mabatini Mlandizi, Pwa… Read More
  • STAND UNITED YAISHITAKI SHIREFA TFFUongozi wa Stand United, umeliomba shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF kukemea kitendo cha uongozi wa chama cha soka Mkoani Shinyanga (SHIREFA) kuandikisha wanachama wa klabu hiyo wakati kuna viongozi. Mwenyekiti wa … Read More
  • KOCHA MWENYE REKODI ZA KIMATAIFA KUTUA SIMBAHarakati za usajili katika klabu ya Simba bado zinaendelea na habari za hivi karibuni zinasema makocha wanne kutoka katika nchi nne tofauti wamejitokeza kutaka kuinoa klabu hiyo. Geofrey Nyange "Kaburu" (Makamu mwenyekiti … Read More
  • KASEKE ACHEKELEA MAISHA YANGAKiungo wa Yanga, Deus Kaseke amesema anajiona ni mwenye bahati kwa kufanikiwa kuchukua mataji mawili (Ligi kuu Vodacom & Kombe la FA) pamoja na kucheza hatua ya makundi kombe la shirikisho Afrika CAF CC katika msimu wake … Read More
  • CAF YAISAFISHIA NJIA YANGAShirikisho la mpira wa miguu Afrika (CAF), limemthibitisha beki Hassan Kessy kuichezea Yanga katika michuano ya Kombe la CAF CC katika hatua ya makundi. Caf pia imetuma leseni ya wachezaji wengine watatu wa Yanga walioonge… Read More

0 comments:

Post a Comment