Beki wa kulia wa Simba SC, Hassan Ramadhani Kessy (katikati) akitia dole gumba kwenye fomu za Mkataba wa Yanga, Kessy amesaini miaka miwili kuitumikia Yanga kuanzia mwezi ujao. Zoezi hilo lilifanyika juzi usiku mjini Dar es Salaam.
Monday, May 9, 2016
HASSAN RAMADHANI KESSY AMWAGA WINO YANGA
Related Posts:
JOHN BOCCO NJE AZAM DHIDI YA AFRICAN SPORTS NAHODHA wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, John Bocco ‘Adebayor’, ameingia kwenye orodha ya wachezaji majeruhi wa timu hiyo baada ya misuli yake ya mguu kukaza. Tokea jana mshambuliaji huyo amekuwa a… Read More
WACHEZAJI SIMBA WAGOMA KUCHEZA NA MAJIMAJI Hali ya sintofahamu imezidi kuimkumba klabu ya Simba, baada ya wachezaji wake 7 kususia mechi kati yao na Majimaji ya Songea itakayochezwa siku ya Jumatano May 11. Wachezaji hao sita ni wakigeni na mmoja ni wa ndani, wac… Read More
KIKOSI CHA YANGA LEO DHIDI YA NDANDA FC LIGI KUU TANZANIA BARA Ndanda SC Vs Young Africans SC Uwanja : Taifa. Muda : Saa 10 : 00. Kikosi Cha Yanga. 1.Deogratius Munishi Dida. 2.Juma Abdul Jafary. 3.Mwinyi Haji Ngwali. 4.Vicent Bossou. 5.K… Read More
SHEREHE ZA UBINGWA YANGA KUFANYIKA NANGWANDA SIJAONA Mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara timu ya Yanga SC, wanatarajiwa kupewa kombe lao la ligi kuu msimu huu katika mchezo wao dhidi ya Ndanda FC utakaofanyika katika uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara, sherehe hizo za… Read More
KAMPENI KUTETEA KAGAME CUP AZAM FC NI JULAI 16 Timu ya Azam FC, itaanza kutetea ubingwa wake wa Kombe la Kagame kuanzia Julai 16 hadi 30 mwaka huu, michuano ambayo itakayofanyika jijini Dar es Salaam. Hii inakuwa ni mara ya pili mfululizo kwa michuano hiyo kufanyi… Read More
0 comments:
Post a Comment