Kikosi cha Simba kimesafiri alfajiri ya leo kuelekea Songea tayari kwa mchezo wake dhidi ya Majimaji FC. Simba itaingia katika mchezo huu ikiwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo wake wa awali dhidi ya Mwadui FC, hivyo kuhitaji ushindi ili kuleta hali ya utulivu katika klabu hiyo.
Monday, May 9, 2016
SIMBA YAIFUATA MAJIMAJI SONGEA
Related Posts:
FUATILIA VITA YA KUSAKA NAFASI YA PILI KATI YA AZAM NA SIMBA HAPA SOKA24 Fuatilia Moja Kwa Moja Yote Yatakayojiri katia Michezo ya Timu Mbili zinazopigania nafasi ya pili kati ya Azam FC na Simba SC. Ligi kuu Tanzania Bara inafungwa leo kwa timu zote kucheza katika kutamatisha ligi hiyo, Pres… Read More
WANAOSUGUA BENCHI YANGA KUCHEZA NA MAJIMAJI LEO Yanga imewasili Mjini Songea tayari kuvaana na Majimaji katika mchezo wao wa mwisho wa Ligi kuu Tanzania Bara. Kuelekea mchezo huo Yanga imepeleka kikosi ambacho wengi wa wachezaji wake hawapati muda mwingi wa kucheza uk… Read More
PAZIA LA LIGI KUU VODACOM KUFUNGWA RASMI KESHO Michezo ya mwisho ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, inatarajiwa kufanyika kesho Jumapili, Mei 22, 2016 kwa timu zote 16 kutinga katika viwanja vinane tofauti kumaliza ngwe ya msimu wa 2015/16. Michezo itakayopigwa … Read More
KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA JKT RUVU HIKI HAPA Kikosi cha akiba ni 1. Vicent Angban2. Said Issa3. Mohamed Mussa4. Hussein Magila5. Fredy Antony6. Said Hamis … Read More
HIZI NDO MECHI ZOTE ZA KUFUNGA LIGI LEO Ligi kuu Tanzania Bara Maarufu Vodacom ijatarajiwa kuendelea tena leo kwa mechi za mwisho za kufunga pazia la ligi hiyo. Michezo itakayopigwa leo ni pamoja na Simba itakayokipiga na JKT Ruvu kwenye Uwanja wa Taifa, Dar… Read More
0 comments:
Post a Comment