Monday, May 9, 2016

SIMBA YAIFUATA MAJIMAJI SONGEA


Kikosi cha Simba kimesafiri alfajiri ya leo kuelekea Songea tayari kwa mchezo wake dhidi ya Majimaji FC. Simba itaingia katika mchezo huu ikiwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo wake wa awali dhidi ya Mwadui FC, hivyo kuhitaji ushindi ili kuleta hali ya utulivu katika klabu hiyo.

0 comments:

Post a Comment