Sunday, May 8, 2016

TAYARI MAN UTD IMENASA SAINI ZA WACHEZAJI HAWA 4


Mashabiki wa Manchester United wanahamu kubwa ya kujua kina nani watatua katika klabu yao mara baada ya kumalizika msimu huu wa Ligi kuu. Lakini wakiwa katika shauku hiyo tayari klabu ya Man UTD imeshanasa saini za makinda 4 watakaoongeza nguvu katika kikosi hicho msimu ujao.

Wachezaji hao ni: Mlinda Mlagno raia wa Nchini Poland Kacper Chorazka, straika wa FC Zurich Nishan Burkart, Forward kutoka  nchini Uholanzi Tahith Chong na Nahodha wa timu ya Taifa ya Vijana (Under 16)  ya Jamhuri ya Ireland  Lee O’Connor.

Related Posts:

  • RUVU SHOOTING KUKIPA NGUVU KIKOSI CHAORuvu Shooting ipo katika mipango ya kusajili wachezaji saba ili kujiimarisha kabla hawajaanza kipute cha ligi kuu Vodacom msimu wa 2016/17. kwa sasa Ruvu Shooting inaendelea na kambi kwenye uwanja wa Mabatini Mlandizi, Pwa… Read More
  • MATARAJIO YA SIMBA KIKOSI KIPYA MSIMU UJAOZacharia Hans Poppe, mwenyekiti wa kamati ya usajili Simba, amesem a kikosi chao msimu ujao kitakuwa na mabadiliko makubwa kuanzia benchi la ufundi hadi wachezaji. Simba kwa sasa ipo katika harakati za kuhakikisha wanawana… Read More
  • KIFAA KIPYA YANGA KUTUA LEO JANGWANIWalter Musona Mshambuliaji kutoka FC Platinum ya Zimbabwe anatarajiw kuwasili Daresalaam leo alasiri kwa ajili ya mazungumzo na klabu ya Yanga. Kwa mujibu wa chanzo cha uhakika kutoka katika klabu ya Yanga, tayari mambo yo… Read More
  • HUYU NDO KOCHA MPYA BRAZILTite ametajwa kuwa kocha mpya wa Brazil baada ya Dunga kutupiwa virago kufuatia matokeo mabovu waliyoyapata Brazil Copa America 2016. Tite Tite 55, anachukua nfasi ya Dunga aliyetimuliwa mara baada ya Brazil kutolewa hatu… Read More
  • KOCHA MWENYE REKODI ZA KIMATAIFA KUTUA SIMBAHarakati za usajili katika klabu ya Simba bado zinaendelea na habari za hivi karibuni zinasema makocha wanne kutoka katika nchi nne tofauti wamejitokeza kutaka kuinoa klabu hiyo. Geofrey Nyange "Kaburu" (Makamu mwenyekiti … Read More

0 comments:

Post a Comment