Tuesday, May 24, 2016
SIMON MIGNOLET APATA MPINZANI MPYA LIVERPOOL
Klabu ya Liverpool imefikia makubaliano na mlinda mlango wa Klabu ya Mainz Loris Krius na tayari mlinda mlango huyo ameshafuzu vipimo vyake.
Related Posts:
FIFA YAMTIMUA MKURUGENZI WA FEDHA FIFA imemtimua mkurugenzi wake wa masuala ya fedha aliyedumu katika shirikisho hilo kwa zaidi ya miaka 12. Markus Kattner Markus Kattner ametimuliwa kufuatia kashifa yake ya kupokea fedha za ziada ambazo zilikuwa … Read More
MARCA YATOA LIST YA WACHEZAJI 16 WANAOHUSISHWA KUSAJILIWA NA MOURINHO Dirisha la usajili bado halijafunguliwa rasmi hadi June 19 na Mourinho bado hajathibitishwa kuwa kocha wa Man United baada ya kumfukuza kazi Louis Van Gaal. Hilo halijazuia uvumi wakimichezo unaowahusisha wachezaji kusaj… Read More
SERENGETI BOYS SASA KUWANIA NAFASI HII, BAADA YA KUTOKA SARE NA MALAYSIA Timu ya soka ya Taifa ya Vijana wenye umri wa chini ya miaka 17 ‘Serengeti Boys’ kesho Mei 25, 2016 kesho inaingia tena Uwanja wa Tilak, Maidan mjini Goa India kukipiga na Malaysia Katika mchezo wa kuwania kucheza faina… Read More
MATOKEO YA DRAW YA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA HAYA HAPA CAF CONFEDERATION CUP - GROUP Group A TP Mazembe (DRC) Mo Bejaia (Algeria) Young Africans (Tanzania) Madeama (Ghana) Group B Etoile du Sahel (Tunisia) FUS Rabat (Morroco) Kawkab Athletic (Morroco) Ahli Tripoli … Read More
CHRISTIANO RONALDO HATARINI KUIKOSA FAINALI UEFA CHAMPIONS Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno Christinao Ronaldo amegongana na Kiko Casilla katika mazoezi leo asubuhi, kugongana ambako kulimpelekea CR7 kutoka nje kitu ambacho kimeleta hofu juu ya uwepo wake katika fainali ya klabu b… Read More
0 comments:
Post a Comment