Sunday, May 22, 2016

RIPOTI KAMILI YA LIGI KUU VODACOM 2015/16

Pazia la Ligi Kuu Vodacom Limefungwa hivi leo kwa timu zote kucheza katika kumamilisha ratiba ya ligi hiyo.




Soka24 inakuletea ripoti yote ya Ligi kuu Vodacom Msimu wa 2015-2016

MATOKEO YA MECHI ZA LEO MEI 22

Toto 0 - 1 Stand united

Majimaji 2 - 2 Yanga

Simba 1 - 2 Jkt ruvu

Azam 1- 1 Mgambo 

Coastal union 0 - 2 Prisons 

Mbeya City 0 - 0 Ndanda 

Mtibwa 2 - 0 African sports

Mwadui 0 - 2  Kagera Sugar 

BINGWA 2015-2016

Dar Young Africans - DAR-ES-SALAAM

MSHINDI WA PILI

Azam Football Club - DAR-ES-SALAAM

MSHINDI WA TATU

Simba Sports Club - DAR-ES-SALAAM

MSHINDI WA NNE

Mtibwa Sugar - MOROGORO


TIMU  ZILIZOSHUKA DARAJA

African Sports - TANGA

Coastal Union - TANGA

Mgambo JKT - TANGA

MFUNGAJI BORA

Amiss Jocelyn Tambwe - Yanga- Magoli 21

TUZO ZA WACHEZAJI LIGI KUU VODACOM MIEZI 5 ILIYOPITA


MCHEZAJI BORA MWEZI APRIL

Juma Abdul Jaffar - Yanga SC

MCHEZAJI BORA MARCH 2016


Shiza Ramadhani Kichuya - Mtibwa Sugar

MCHEZAJI BORA FEBRUARI 2016


Mohamed Mkopi - Tanzania Prisons

MCHEZAJI BORA JANUARI 2016


Shomari Kapombe - Azam FC

MCHEZAJI BORA DISEMBA 2015

Thaban Kamusoko - Yanga SC


MSIMAMO BAADA YA MECHI ZA LEO













Related Posts:

  • YALIYOJIRI MKUTANO MKUU WA DHARULA YANGA Katika mkutano mkuu wa dharula wa klabu ya Yanga uliofanyika leo ukumbi wa Diamond Jubilee, Mwenyekiti Yusuf Manji ameomba apewe klabu kwa miaka 10 na katika kipindi hicho atakuwa anachukua asilimia 75 ya mapato ya timu, huk… Read More
  • MWASHIUYA KUIKOSA MEDEAMA SC GHANA Kiungo klabu ya Yanga, Geofry Mwashiuya ataukosa mchezo wa marudiano kati ya Yanga na Medeama SC utakaopigwa nchini Ghana kutokana kuuguza majeraha ya goti. Mwashiuya amewekewa bandeji laini ambayo inamsaidia kupona hara… Read More
  • AZAM FC YANASA WENGINE WAWILI KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, leo jioni imeingia mkataba na mabeki wawili, Mghana Daniel Amoah na Mzimbabwe, Bruce Kangwa, kwa ajili ya kuitumikia timu hiyo msimu ujao. Wawili hao kila mmoja amesaini m… Read More
  • BAADA YA KUTUPIWA VIRAGO HAMISI KIIZA AICHANA VIBAYA SIMBA Hamisi Kiiza ambaye aliingia katika mgogoro na uongozi wa timu yake ya zamani ya Simba SC ameamua kufunguka na kusema kwamba timu hiyo hata isajili nyota wote kamwe haitafanikiwa. Kiiza aliyeshika nafasi ya pili kwa upach… Read More
  • NAMUNGO FC YAPIGWA FAINI, YAPANDA DARAJA Kamati ya Mashindano ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imeipiga faini ya Sh. 500,000, Klabu ya Namungo FC ya Lindi kwa kila mechi ambayo mchezaji Imani Vamwanga aliichezea timu hiyo akitumia jina la Emmanuel T.… Read More

0 comments:

Post a Comment