Sunday, May 22, 2016

MOHAMED TSHABALALA MCHEZAJI BORA WA MWEZI MARCH

 Mchezaji Mohamed Tshabalala ameshinda tunzo ya mchezaji bora kwa mwezi wa March - April 2016.


Related Posts:

  • "Haikuwa Kazi Rahisi, Tumepambana Kinoma" Farid WINGA machachari wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Farid Mussa, amesema kuwa haikuwa kazi rahisi kwa walichofanya jana walipoichapa Esperance ya Tunisia mabao 2-1 kwenye mchezo wa kwanza wa raundi ya pili… Read More
  • Afisa Habari Wa Simba Anusurika Kifo Afisa Habari wa Simba Sports Club Haji Manara amenusurika kifo jana kutokana na ajali ya bajaji, Manara alikuwa kwenye bajaji kwa bahati mbaya akachomoka kutokea nje wakati bajaji ikiwa kwenye mwendo mkali. Ajali hiyo im… Read More
  • Kiiza Yamkuta Tena Afukuzwa Kambini SimbaKOCHA wa Simba, Jackson Mayanja sasa ameingia kwenye ugomvi mkubwa na Mganda mwenzake, mshambuliaji Hamisi Kiiza. Mayanja amemfukuza Kiiza kambini Ndege Beach, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam kwa shutuma za utovu wa nidha… Read More
  • Niyonzima Arejea Na Kasi Mpya Yanga Kiungo wao mchezeshaji Mnyarwanda, Haruna Niyonzima amepona malaria na tayari ameanza mazoezi. Kiungo huyo, hivi karibuni alizuiwa kuingia kwenye kambi ya maandalizi huko Pemba katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi… Read More
  • Farid Na Messi Waikalisha Esperance De Tunis Azam fc imefanikiwa kuichapa timu ya Esperance kutoka nchini Tunisia kwa mabao mawili kwa moja. Esperance walikuwa wa kwanza kupata bao dakika ya 33 ya mchezo kupitia kwa mchezaji wake Haithem Jouini. Hadi timu zinakwenda m… Read More

0 comments:

Post a Comment