TIMU ya Leicester City wametwaa taji la EPL rasmi baada ya Tottenhma kushindwa kuwafunga Chelsea katika Mchezo ulipiogwa jana Usiku. Matokeo hayo ya sare yameifanya Tottenham kufikisha pointi 70 huku ikiwa imebakisha mechi mbili tu wakati Leicester wao wana pointi 77 wakiwa pia wamebakisha mechi 2. hivyo Tottenham hawataweza kuzifikia pointi hizo hata wakishinda mechi zao zote zilizobaki.
Tuesday, May 3, 2016
LEICESTER CITY MABINGWA WAPYA EPL 2015/2016
Related Posts:
CLAUDIO RANIERI AIONYA MAN UNITEDClaudio RanieriKocha Wa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu nchini Uingereza Leicester City, Claudio Ranieri ameionya Man United kuwa wasitegemee mchezo rahisi leo. Ranieri amedai anaamini kuna kitu kizuri kinakuja katika klabu yak… Read More
SUNDERLAND YAMRUDISHA DAVID MOYES UINGEREZA Klabu ya Sunderland imemteua kocha wa zamani wa Manchester United David Moyes kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo baada ya Sam Allardyce kukabidhiwa kikosi cha timu ya taifa ya England. Moyes anachukua mikoba ya Sam Allardyce k… Read More
RASMI: MANCHESTER CITY YAMNASA MORENO Klabu ya Manchester City iliyo chini ya kocha Mpya Pep Guardiola imekamilisha uhamisho wa kinda Mkolombia Marlos Moreno. Moreno 19, ametua katika dimba la Etihad akitokea Atletico Nocional na amesaini mkataba wa miaka mit… Read More
VIDEO: INTERVIEW YA KWANZA YA DAVID MOYES SUNDERLAND David Moyes ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Sunderland akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Sam Allardyce aliyekabidhiwa timu ya taifa ya Uingereza. Hii hapa chini Interview Yake ya kwanza mara tu baada ya kutang… Read More
UZI MPYA WA MANCHESTER UNITED MSIMU UJAO Klabu ya Manchester United imetoa jezi zake mpya zitakazotumiwa katika msimu ujao wa ligi kuu Uingereza. Jezi mpya za Man U msimu ujao Bei: Shirt ni Pauni 60 (Tsh.172862) kwa wakubwa na ukihitaji ya mikono mirefu inakuwa … Read More
0 comments:
Post a Comment