Monday, April 18, 2016
Msafara Wa Yanga Wawasili Salama Nchini Misri
Msafara wa Yanga umewasili salama nchini Misri.
Msafara huo uliondoka jioni ya jama kuwafuata National Al Ahly katika mchezo wa marudiano klabu bingwa barani Afrika.
Mchezo wa kwanza uliopigwa hapa Dar timu hizo zilitoshana nguvu kwa kutoka sare ya magoli 1 - 1.
Yanga inahitaji ushindi katika mechi hiyo ili kuweza kusonga mbele katika michuano hiyo ya Klabu Bingwa Barani Afrika
KILA LA HERI YANGA AFRIKA.
Related Posts:
SIMBA YABADILI GIA ANGANI Sare ya bila kufunguna waliyoipata Simba dhidi ya JKT Ruvu imemfanya kocha wa klabu hiyo, Joseph Omog kubadili mfumo wa uchezaji na kusisitiza umakini kwa wachezaji katika mechi zijazo. Katika mchezo huo dhidi ya JKT Ruvu… Read More
OMOG ASHUSHA PRESHA ZA WANAMSIMBAZI Kocha wa klabu ya Simba, Mcameroon, Joseph Omog amewataka mashabiki wa klabu hiyo kuwa watulivu kufuatia sare ya bila kufungana waliyoipata dhidi ya JKT Ruvu. Omog amesema hayo ni matokeo ya kawaida ya kimchezo hivyo mash… Read More
TANZIA;DEUS KASEKE AFIWA NA BABU YAKEMchezaji wa Klabu ya Yanga Deus David Kaseke amefiwa na babu yake. Habari Zaidi tutaendelea kuwajuza kadri tutakavyokuwa tunazipata.... Soka24 Inatoa Pole kwa Deus Kaseke Na Famila yake kwa ujumla … Read More
TANZIA;BABA YAKE DEOGRATIUS MUNISH "DIDA" AAGA DUNIABaba wa Mlinda Mlango namba 1 wa Mabingwa Watetezi wa Ligi kuu Tanzania Bara, Deogratius Munish amefariki Dunia mchana wa leo. Mzee Munishi ameaga dunia mchana wa leo, kifo chake kimetokea wakati tayari Dida anakaribia kuingi… Read More
PLUIJM:"YANGA TIMU BORA TANZANIA" Kocha wa Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara, Hans Van Pluijm amesema Yanga bado ni timu bora zaidi Tanzania Licha ya kuondolewa katika michuano ya kimataifa. Yanga imetupwa nje ya michuano ya kombe la shirikisho … Read More
0 comments:
Post a Comment