Sunday, April 17, 2016

LIVE KUTOKA TAIFA - FUATILIA LIVE MCHEZO KATI YA SIMBA NA TOTO AFRICANS


HALF TIME

MATOKEO:

SIMBA 0 - 1 TOTO AFRICANS

Mfungaji: Wazir Junior 

========

KIPINDI CHAPILI KIMEANZA



Dakika ya 47: beki wa Simba, Hassan Kessy anapewa kadi nyekundu kwa kumchezea faulo, Edward Christopha

FULL TIME

MATOKEO:

SIMBA 0 - 1 TOTO AFRICANS


Kwamara nyingine mnyama anauwawa kikatili na kuzidi kupoteza matumaini ya ubingwa msimu huu.......... 

Related Posts:

  • LIVE KUTOKA TAIFA - FUATILIA LIVE MCHEZO KATI YA SIMBA NA TOTO AFRICANS HALF TIME MATOKEO: SIMBA 0 - 1 TOTO AFRICANS Mfungaji: Wazir Junior  ======== KIPINDI CHAPILI KIMEANZA Dakika ya 47: beki wa Simba, Hassan Kessy anapewa kadi nyekundu kwa kumchezea faulo, Edward Chris… Read More
  • Mnyama Achinjwa Taifa Timu ya soka ya Simba imezidi kupoteza matumaini ya kunyakua ubingwa wa ligi kuu soka Tanzania bara baada ya kukubali kichapo cha Goli 1 - 0 toka kwa Toto Africans ya Mwanza.Katika mchezo huo ambao wadau wengi wa soka waliip… Read More
  • Yanga Yaitwanga Mwadui, Yapaa Kileleni LIGI KUU TANZANIA BARA MZUNGUKO WA PILI RAUNDI YA 20 Yanga 2 - 0 Mwadui Chirwa 69', 83' Yanga Sasa inapanda katika nafasi ya kwanza katika msimamo wa ligi kuu Tanzania bara kwa kujikusanyia jumla ya alama 46 wakit… Read More
  • Matokeo Ligi Kuu Bara Matokeo Ligi Kuu Tanzania Bara Azam FC 2 - 0 Majimaji Young Africans 2 - 1 Mgambo JKT Simba SC 0 - 1 Toto Africans Young Africans 1 -… Read More
  • Simba yarudi kileleni, yaitumia salamu yanga february 25 Mpira ulianza kwa kasi na 11’ alimanusura Benjamin Asukile aifungie Prisons goli pale kichwa chake kilipoenda pembeni kidogo mwa lango la simba baada ya kazi nzuri ya Mohammed Samatta. Juma Luzio mchezaji wa Zesco Un… Read More

0 comments:

Post a Comment