Friday, April 22, 2016
Hizi Ndio Takwimu Za Sagrada Esperanca Watakaocheza Na Yanga
Jina Kamili: Grupo Desportivo Sagrada Esperança
Kuanzishwa: 22 December 1976; miaka 39 sasa
Sagrada Esperança ni klabu inayocheza ligi kuu ya nchini Angola, maarufu kama Girabola. Kiufupi ni kwamba, timu hii imewahi kubeba Ubingwa wa Ligi Kuu ya Angola mara moja (mwaka 2005) tangu ianzishwe, na mwaka 2008 ilishuka daraja. Ilipanda tena mwaka 2009.
Ligi Kuu ya mwaka jana ilishika nafasi ya kumi (10) na ilipata uwakilishi wa CAF kupitia kombe la shirikisho la nchi hiyo. Ni kama huku kwetu Coastal Union abebe Kombe la Shirikisho, basi mwakani atacheza CAF Confederation Cup, licha ya kwamba inashika mkia wa Ligi.
Ligi Kuu ya msimu huu inashika nafasi ya 10 kama unavyoona kwenye msimamo. Mbali na ubingwa huo wa mwaka 2005, timu hii imeshika nafasi za 4 2007 na nafasi ya 5 mwaka 2013. Miaka mingine yote imekuwa ikishika nafasi ya 6 kushuka chini.
Ni timu inayotumia jezi za kijani, na logo ya klabu yao ni kijani na nyota ya njano.
Related Posts:
Guardiola Aendeleza Rekodi Mbaya Mechi Za Ugenini KOCHA wa Bayern Muchen Pep Guardiola jana ameshuhudia vijana wake wakishindwa kutamba mbele ya Atletico Madrid iliyo chini ya Diego Simeone. Mechi hiyo ya kwanza ya Nusu fainali Klabu bingwa Ulaya ilizikutanisha Atletic… Read More
Arsenal Wakiwapata Wachezaji Hawa 3 Wa Seria A, Watamaliza Tatizo La Ushambuliaji Arsenal wanahitaji kuboresh kikosi chao katika eneo lao la ushambuliaji, ambalo linaonekana kutokuwa imara kulikochangiwa pia na kuondoka kwa Mshambuliaji Robin Van Persie aliekajiunga na mahasimu wao Man United. Ufungaji… Read More
BREAKING NEWS: BODI YA EVERTON KUJADILI HATIMA YA MARTINEZ LEO Klabu ya Everton ipo tayari kukaa kikao leo na kujadili hatima ya kocha wa timu hiyo Roberto Martinez. Martinez amezungumza jana kuwa Bodi ya Everton iko sahihi kujadili hatima yake kufuatia mwenendo mbovu wa timu hiyo… Read More
LIVERPOOL YASHINDWA KUTAMBA MBELE YA VILLARREAL KIKOSI Cha Liverpool chini ya kocha Mjerumani Jurgen Klopp kimeshindwa kuendeleza ubabe mbele ya klabu ya Villarreal kutoka nchini Hispania katika mechi ya kwanza ya Hatua ya Nusu fainali Europa League. Klabu ya Villarr… Read More
Mamadou Sakho Afungiwa Kucheza Mpira Beki wa Liverpool amekataa kuchukuliwa vipimo kwa mara ya pili baada ya majibu ya vipimo vya kwanza kuonyesha alikuwa anatumia dawa za kupunguza unene ambazo haziruhusiwi kwa wanamichezo. Kukataa huko kumelifanya shiriki… Read More
0 comments:
Post a Comment