Friday, April 22, 2016

Farid Mussa Aifukuzia Ligi Kuu Hispania, La Liga


Winga chipukizi wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Farid Mussa, leo Ijumaa ameondoka nchini Tunisia kuelekea Hispania kwa ajili ya kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa.
Farid atakuwa huko kwa takribani mwezi mmoja na atafanya majaribio katika timu za Malaga na Las Palmas zinazoshiriki Ligi Kuu ya nchini humu na atarejea jijini Dara es Salaam May 19 mwaka huu msimu wa ligi ukiwa umeisha.

KILA LA KHERI FARID

Related Posts:

  • RASMI: PAUL NONGA AONDOKA YANGA Aliyekuwa mchezaji wa Yanga Paul Nonga ameondoka klabuni hapo na kujiunga na klabu ya Mwadui baada ya muda mrefu kuuomba uongozi wa klabu hiyo imuuze kwenye klabu ambayo atapata nafasi ya kucheza. Paul Nonga akisaini mkata… Read More
  • KAULI ZA WACHEZAJI YANGA KUELEKEA MECHI DHIDI YA MEDEAMA Mabingwa wa Ligi kuu Vodacom na Wawakilishi pekee Afrika Mashariki katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika klabu ya Yanga inatarajiwa kushuka dimbani kesho kumenyana na Medeama SC kutoka nchini Ghana mchezo wa tatu hat… Read More
  • MEDEAMA KUTUA DAR KESHO Wapinzani wa Yanga katika mchezo ujao wa Kombe la Shirikisho Afrika, Medeama ya Ghana wanatarajiwa kutua nchini kesho tayari kwa mchezo wa Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga katika msimamo wa Kund… Read More
  • AZAM MEDIA YAZIMWAGIA VILABU VYA VPL MAMILION Kampuni ya Azam Media imeongeza mkataba wa kurusha mechi za ligi kuu Vodacom msimu ujao 2016/17. Mkataba huo umesainiwa jana kati ya TFF na klabu ya bodi ya Ligi na Uongozi wa Azam, huku mkataba huo ukiwa umeboreshwa kido… Read More
  • HATIMAYE TFF YAMKALISHA JERRY MURO Hatimaye Ofisa Habari wa Yanga Jerry Muro, amekubali kutumikia adhabu iliyotolewa na TFF. Awali Muro alipinga adhabu hiyo kwa kutoa kauli nyingi zikionyesha kuwa TFF walikiuka taratibu za kutoa adhabu hiyo. Licha ya kauli… Read More

0 comments:

Post a Comment