CHRISTIANO RONALDO HATAKI KUSIKIA MWANAE ANAITAJA BARCELONA
Christiano Ronaldo amezungumza kuhusu familia yake huku akiweka bayana kuwa mapenzi yake makubwa na Madrid hayawezi kuruhusu kumwacha kijana wake akiishabikia Barcelona.
"Kijana wangu amebadilisha maisha yangau katika ma…Read More
ROBERT LEWANDOWSKI KUTUA REAL MADRID
Wakala wa Robert Lewandowski, Cezary Kucharski amethibitisha kuwa Real Madrid walimfuata kuhusu uwezekano wa Lewandowski kutua Bernabeu.
Lewandowski aliye katika kiwango cha hali ya juu kwa hivi sasa anamaliza mkataba na…Read More
RICARDO KAKA AITWA KIKOSI CHA TIMU YA TAIFA BRAZIL
Ricardo Izecson dos Santos Leite Maarufu kama Kaka ameitwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Brazil kuchukua nafasi ya Staa wa Bayern Munich Douglas Costa katika michuano ya Copa America
Shirikisho la mpira wa miguu Br…Read More
0 comments:
Post a Comment